Luhamba II
Senior Member
- Mar 22, 2025
- 126
- 186
Huu ulikua ni ushauri wangu wa mwisho kumpa AISHA juzi mchana.
Kwenye thread hii nitakuonesha faida za kufungua Kampuni badala ya Jina la Biashara kama nilivyomwambia AISHA.
1. Limited liability
Kampuni ni legal person na inajitegemea kutoka kwa Mmiliki wake, hivyo kwenye event kama ya kulipa mikopo Mali zako binafsi hazitauzwa kulipa madeni ya Kampuni.
2. Trust
Watu au taasisi kubwa huamini zaidi Kampuni kuliko biashara binafsi. Ukiwa na Kampuni ni rahisi kupata mikopo, tender kubwa au partnerships.
3. Urahisi wa kupata Mitaji
Ukiwa na Kampuni ni rahisi kupata Mitaji kwa kuuza hisa za Kampuni au kupata mikopo kwa jina la Kampuni.
4. Kuendelea kwa biashara hata Mmiliki akipoteza maisha.
Tumeona events nyingi ambazo biashara hufa pindi anapokufa Mmiliki, lakini Kampuni nyingi zinaweza ku survive bila uwepo wa Mmiliki.
5. Kushiriki tenda na mikataba ya serikali na taasisi za kimataifa.
Hey naitwa Luhamba Mimi ni mwanasheria na agency freelancer nawasaidia wafanya biashara kama wewe kusajili biashara na Kampuni.
Kama unahitaji consultation zaidi kuhusu usajili wa Kampuni na biashara unaweza kunitumia ujumbe WhatsApp kupitia namba hizi 0678131068
Your Favorite Lawyer.
Kwenye thread hii nitakuonesha faida za kufungua Kampuni badala ya Jina la Biashara kama nilivyomwambia AISHA.
1. Limited liability
Kampuni ni legal person na inajitegemea kutoka kwa Mmiliki wake, hivyo kwenye event kama ya kulipa mikopo Mali zako binafsi hazitauzwa kulipa madeni ya Kampuni.
2. Trust
Watu au taasisi kubwa huamini zaidi Kampuni kuliko biashara binafsi. Ukiwa na Kampuni ni rahisi kupata mikopo, tender kubwa au partnerships.
3. Urahisi wa kupata Mitaji
Ukiwa na Kampuni ni rahisi kupata Mitaji kwa kuuza hisa za Kampuni au kupata mikopo kwa jina la Kampuni.
4. Kuendelea kwa biashara hata Mmiliki akipoteza maisha.
Tumeona events nyingi ambazo biashara hufa pindi anapokufa Mmiliki, lakini Kampuni nyingi zinaweza ku survive bila uwepo wa Mmiliki.
5. Kushiriki tenda na mikataba ya serikali na taasisi za kimataifa.
Hey naitwa Luhamba Mimi ni mwanasheria na agency freelancer nawasaidia wafanya biashara kama wewe kusajili biashara na Kampuni.
Kama unahitaji consultation zaidi kuhusu usajili wa Kampuni na biashara unaweza kunitumia ujumbe WhatsApp kupitia namba hizi 0678131068
Your Favorite Lawyer.