Elly B
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,194
- 906
Hi Guyz,
Kuna wakati niliwahi kuandika kuhusu namna ya kufungua bios password kwenye compter(laptop na desktops). Nimekuwa nafuatilia hiyo kitu for sometime now.
So nimekuja hewani on the same topic but kuwataarifu tu kuwa the lesson time is out and that kwa sasa yeyote mwenye sifa zifuatazo anatakiwa kunitafuta;
1. Awe na computer iliyofungwa bios password.
2.Awe na uhakika hiyo computer hajaiba ua haijapatikana illegally.
Napenda ijulikane publically kuwa kwa kusema hivi nakusudia kuwasaidia watu wenye matatizo na computer zao kweli na sijasema watu waibe laptop za watu ili zifunguliwe hapa na wala sim-encourage yeyote kujaribu kuja kunidanganya. I HEREBY DENY ANY RESPONSIBILITY FOR ANY CASE UNDERWHICH A CUSTOMER HAS FAKED THE IDENTITY OF OWNERSHIP and that I WILL PERSONALLY SUBMIT THE ACCUSED to the Concerned legal upholders
KARIBUNI SANA!
Kuna wakati niliwahi kuandika kuhusu namna ya kufungua bios password kwenye compter(laptop na desktops). Nimekuwa nafuatilia hiyo kitu for sometime now.
So nimekuja hewani on the same topic but kuwataarifu tu kuwa the lesson time is out and that kwa sasa yeyote mwenye sifa zifuatazo anatakiwa kunitafuta;
1. Awe na computer iliyofungwa bios password.
2.Awe na uhakika hiyo computer hajaiba ua haijapatikana illegally.
Napenda ijulikane publically kuwa kwa kusema hivi nakusudia kuwasaidia watu wenye matatizo na computer zao kweli na sijasema watu waibe laptop za watu ili zifunguliwe hapa na wala sim-encourage yeyote kujaribu kuja kunidanganya. I HEREBY DENY ANY RESPONSIBILITY FOR ANY CASE UNDERWHICH A CUSTOMER HAS FAKED THE IDENTITY OF OWNERSHIP and that I WILL PERSONALLY SUBMIT THE ACCUSED to the Concerned legal upholders
KARIBUNI SANA!