1.umetumia sh ngapi ukiwa baa na mademu ? 562,500/=
2.umetumia sh ngapi kulipia gesti kila upatapo demu, 820,000/=
3.umetumia sh ngapi kununua vocha nimekuwa niki text sana 4,000/=
4.umetumia sh ngapi kutolea mimba kwa wasichana usiotaka kuzaa nao, 0/=
5.umetumia sh ngapi nauli za daladala kumfuata demu au demu akija kwako, hela ya mafuta 1,200,000/=
6.umetumia sh ngapi kuwanunulia vijizawadi mademu pamoja na kuwahonga, 800,000/=
7.Angalia viwalo vyako ni vikuu kuu, kula kwako kwa taabu na kodi unalipa kwa mbinde! nimejenga
MWAKA UJAO ITABIDI NIOE TARHE 30 NAENDA KUPIMA NGOMA