Funga mwaka...!


Bajeti yako nimeipenda..ila hao dagaa lazima umeshakuwa na ngozi ya chuma.
 

Elia nilikuwa sina mpango wa kucheka ila imebidi
Hii budget kiboko na ni balaa. Bora tuu uoe na isiwe unaoa na then unaanza mpango wa nyumba ndogo kuzifuata mbali tena yaani kila wiki ni bagamoyo au morogoro maana utakuwa umerudi pale pale
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…