mkuu nielekeze jinsi ya kupakua hiyo file maana hata silielewi elewiukitaka dashboard nyengine ni hiii hapa ZTE Telstra Turbo Connection.rar - 4shared.com - online file sharing and storage - download
<br />Habari zenu wakuu nikama muda sana ambapo watu kila siku wana uliza au bado hawafanikiwi kufaidika na kuweka line tofauti katia K3565-Z and <br />
<br />
K3570-Z zte modems hizi zinazouzwa za vodacom ili kuweza kuweka line ya mtandao mwigine na kutumia vyema kabisa bila any problem...<br />
<br />
wengine wanaweza shangaa kwanini nimefungua thread mpya kuzungumzia tena hili swala wakati limeshajadiliwa sana hapa na vile vile imetolewa<br />
<br />
suluhu... na ikagundulika kuwa hizi modems haizija unlokiwa bali dashboard yake(vodafone mobile connect) imefungiwa isi kubal kusoma <br />
<br />
line(mtandao) tofauti na VODACOM... vile vile watu waka post attach na vile vile kuweka links za dashboard ambazo ztaruhusu kusoma na <br />
<br />
kuconnect line yoyote nyigine tofauti yenye mtandao wa GSM.. kwa mfano JOIN AIR 1.0... n.k mie nitaelezea kutoka mwanzo jinsi ya<br />
<br />
jinsi ya kuweza kutumia kupitia JOIN AIR 1.0 dashboard kwa sababu pia watu mpaka leo bado wagumu kuelewa... BALI dhumuni ya hii THREAD <br />
<br />
sana sana haija base sana jinsi ya kuweza kutumia JOIN AIR 1.0 bali ni kwamba kuta tatizo moja au USUMBUFU fulan unatokea na watu ambao<br />
<br />
wanatumia DASHBOARD tofauti na vodafone mobile connect wata ungana na mimi... USUMBUFU unakuja pale ambapo UNALAZIMIKA <br />
<br />
ukichomeka modem yako ya vodafone automatically ina run iyo vodafone mobile connect na vile vile inachukua muda kidogo kuload kwa <br />
<br />
wale wenye pc zenye uwezo wa speed ndogo (RAM) vile vile ikishaload uiexit then sasa ufungue iyo dashboard nyigine ambayo itaruhusu <br />
<br />
line zingine... sasa hi ni kero kidogo sana sana kwa Windows XP kwasababu ina automatically run bila kutoa prompts kama Windows 7..... sasa<br />
<br />
nataka kueleza jinsi ya kudisable kautomatical autorun na kufunguka iyo dashboard ya vodafone mobile connect baada ya kujaribu njia nyinigi <br />
<br />
kuizuia mpaka mwisho nimefanikiwa nitaelezea maelezo full kabisa kutumia JOIN AIR 1.0 apo chini maelezo yakifuatia na picha:<br />
<br />
Mwanzo kabisa connect modem yako na automatically ita install vodafone mobile connect iache imalize kabisa na mpaka uone imefunguka<br />
<br />
na umeweka line ya voda ni imeshika mtandao vyema kabia then exit vodafone mobile connect chomoa modem and chomoa line ya voda <br />
<br />
na weka line tofauti ambazo unaweza kuweka line ya TIGO, AIRTEL na line ya ZANTEL ya GSM... then connect modem yako sasa iache ifunguke<br />
<br />
automatically vodafone mobile connect kwa sasa mpaka italeta msg hii<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33430&stc=1" attachmentid="33430" alt="" id="vbattach_33430" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33431&stc=1" attachmentid="33431" alt="" id="vbattach_33431" class="previewthumb size_large" /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33432&stc=1" attachmentid="33432" alt="" id="vbattach_33432" class="previewthumb size_medium" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33433&stc=1" attachmentid="33433" alt="" id="vbattach_33433" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
Then sasa download JOIN AIR dashboard kupitia link hii apa <a href="http://www.4shared.com/file/SMT1PLax/ZTE_Join_Air-10.htm" target="_blank">ZTE Join Air-1.0.rar - 4shared.com - online file sharing and storage - download</a> kisha install Then <br />
<br />
ifungue apo chini ni picha ya dashboar ya JOIN AIR na nimeweka line ya ZANTEL ya GSM ambapo mwanzo kwenye vodafone mobile connect <br />
<br />
sasa imefunguka na kusoma iyo line;<br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33434&stc=1" attachmentid="33434" alt="" id="vbattach_33434" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33435&stc=1" attachmentid="33435" alt="" id="vbattach_33435" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33436&stc=1" attachmentid="33436" alt="" id="vbattach_33436" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33437&stc=1" attachmentid="33437" alt="" id="vbattach_33437" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33438&stc=1" attachmentid="33438" alt="" id="vbattach_33438" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33439&stc=1" attachmentid="33439" alt="" id="vbattach_33439" class="previewthumb size_large" /> <img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33440&stc=1" attachmentid="33440" alt="" id="vbattach_33440" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<br />
SASA TUNAKUJA PART MUHIMU PIA AU SULUHU YA KUPUNGUZA KERO YA KUSUBIRI KWANZA VODAFONE MOBILE CONNECT KUFUNGUKA <br />
<br />
THEN KUICLOSE THEN KUFUNGUA JOIN AIR; <br />
<br />
sasa cha kwanza ni kudownload hii software kupitia hii link right click na select open new tab na itaanza kudownload then isave kwenye <br />
<br />
DESKTOP yako na WAHAKIKISHIA sio VIRUS coz PIA WENGINE HUOGOPA sana KUDOWNLOAD BINARY FILES zenye .exe.... link ya <br />
<br />
kudownload hii apa <a href="http://the.earth.li/%7Esgtatham/putty/latest/x86/putty.exe" target="_blank">http://the.earth.li/~sgtatham/putty/latest/x86/putty.exe</a> <br />
<br />
Then sasa apa pia muhimu sana pia kwanza kwa windows xp fungua CONTROL PANEL then select SYSTEM alafu hardware then select DEVICE<br />
<br />
MANAGER... na kwa VISTA na SEVEN easily fungua STARTMENU then apo kwny search andika device manager na ifungue... then tafuta <br />
<br />
ambapo imeandikwa MODEMS na fuatsha picha apo chini;<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33441&stc=1" attachmentid="33441" alt="" id="vbattach_33441" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33444&stc=1" attachmentid="33444" alt="" id="vbattach_33444" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33446&stc=1" attachmentid="33446" alt="" id="vbattach_33446" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33447&stc=1" attachmentid="33447" alt="" id="vbattach_33447" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33449&stc=1" attachmentid="33449" alt="" id="vbattach_33449" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
Sasa iyo picha chini ina THIBITISHA kama imekubali kuto ku autorun kwasababu ukianglaia kwneye My Computer iyo icon haipo kabisa lakin<br />
<br />
Kwenye dashboard imesoma na kuconncet fresh kabisa<br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33451&stc=1" attachmentid="33451" alt="" id="vbattach_33451" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
Then sasa fungua dashboard ya JOIN AIR <br />
<br />
<img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=33450&stc=1" attachmentid="33450" alt="" id="vbattach_33450" class="previewthumb size_large" /><br />
<br />
<br />
<br />
<font size="4">YAP MPAKA APO NIMEFIKIA MWISHO WA MAELEZO NA I HOPE KUWA MTAFANIKIWA NA KUONA HII <br />
<br />
THREAD INA MSAADA KWAKO NI HAYO 2 HOPE MTAFANIKIWA ALL THE BEST NA NIGEPENDA KUONA <br />
<br />
FEEDBACKS!</font>
Duuh mkuu naona apo nimejaribu kuelezea kwa kina sana lakini kama haujaelewa powa mie nko dar ucjal stakuchaj kitu coz hii procedure ni fast and easy labda subiri nitatengeneza video tutorial A-Z sasa apo naona utaweza elewa na kufanya mwenyewe... DUUUUH!<br />
<br />
mkuu kunauwezekano nikufuate unisaidie kuifanya hii kitu!!!kama ndio gharama zako zikoje??na unapatikana wapi??
Habari zenu wakuu nikama muda sana ambapo watu kila siku wana uliza au bado hawafanikiwi kufaidika na kuweka line tofauti katia K3565-Z and
K3570-Z zte modems hizi zinazouzwa za vodacom ili kuweza kuweka line ya mtandao mwigine na kutumia vyema kabisa bila any problem...
wengine wanaweza shangaa kwanini nimefungua thread mpya kuzungumzia tena hili swala wakati limeshajadiliwa sana hapa na vile vile imetolewa
suluhu... na ikagundulika kuwa hizi modems haizija unlokiwa bali dashboard yake(vodafone mobile connect) imefungiwa isi kubal kusoma
line(mtandao) tofauti na VODACOM... vile vile watu waka post attach na vile vile kuweka links za dashboard ambazo ztaruhusu kusoma na
kuconnect line yoyote nyigine tofauti yenye mtandao wa GSM.. kwa mfano JOIN AIR 1.0... n.k mie nitaelezea kutoka mwanzo jinsi ya
jinsi ya kuweza kutumia kupitia JOIN AIR 1.0 dashboard kwa sababu pia watu mpaka leo bado wagumu kuelewa... BALI dhumuni ya hii THREAD
sana sana haija base sana jinsi ya kuweza kutumia JOIN AIR 1.0 bali ni kwamba kuta tatizo moja au USUMBUFU fulan unatokea na watu ambao
wanatumia DASHBOARD tofauti na vodafone mobile connect wata ungana na mimi... USUMBUFU unakuja pale ambapo UNALAZIMIKA
ukichomeka modem yako ya vodafone automatically ina run iyo vodafone mobile connect na vile vile inachukua muda kidogo kuload kwa
wale wenye pc zenye uwezo wa speed ndogo (RAM) vile vile ikishaload uiexit then sasa ufungue iyo dashboard nyigine ambayo itaruhusu
line zingine... sasa hi ni kero kidogo sana sana kwa Windows XP kwasababu ina automatically run bila kutoa prompts kama Windows 7..... sasa
nataka kueleza jinsi ya kudisable kautomatical autorun na kufunguka iyo dashboard ya vodafone mobile connect baada ya kujaribu njia nyinigi
kuizuia mpaka mwisho nimefanikiwa nitaelezea maelezo full kabisa kutumia JOIN AIR 1.0 apo chini maelezo yakifuatia na picha:
Mwanzo kabisa connect modem yako na automatically ita install vodafone mobile connect iache imalize kabisa na mpaka uone imefunguka
na umeweka line ya voda ni imeshika mtandao vyema kabia then exit vodafone mobile connect chomoa modem and chomoa line ya voda
na weka line tofauti ambazo unaweza kuweka line ya TIGO, AIRTEL na line ya ZANTEL ya GSM... then connect modem yako sasa iache ifunguke
automatically vodafone mobile connect kwa sasa mpaka italeta msg hii
View attachment 33430
View attachment 33431View attachment 33432
View attachment 33433
Then sasa download JOIN AIR dashboard kupitia link hii apa ZTE Join Air-1.0.rar - 4shared.com - online file sharing and storage - download kisha install Then
ifungue apo chini ni picha ya dashboar ya JOIN AIR na nimeweka line ya ZANTEL ya GSM ambapo mwanzo kwenye vodafone mobile connect
sasa imefunguka na kusoma iyo line;
View attachment 33434
View attachment 33435
View attachment 33436
View attachment 33437
View attachment 33438
View attachment 33439 View attachment 33440
SASA TUNAKUJA PART MUHIMU PIA AU SULUHU YA KUPUNGUZA KERO YA KUSUBIRI KWANZA VODAFONE MOBILE CONNECT KUFUNGUKA
THEN KUICLOSE THEN KUFUNGUA JOIN AIR;
sasa cha kwanza ni kudownload hii software kupitia hii link right click na select open new tab na itaanza kudownload then isave kwenye
DESKTOP yako na WAHAKIKISHIA sio VIRUS coz PIA WENGINE HUOGOPA sana KUDOWNLOAD BINARY FILES zenye .exe.... link ya
kudownload hii apa http://the.earth.li/~sgtatham/putty/latest/x86/putty.exe
Then sasa apa pia muhimu sana pia kwanza kwa windows xp fungua CONTROL PANEL then select SYSTEM alafu hardware then select DEVICE
MANAGER... na kwa VISTA na SEVEN easily fungua STARTMENU then apo kwny search andika device manager na ifungue... then tafuta
ambapo imeandikwa MODEMS na fuatsha picha apo chini;
View attachment 33441
View attachment 33444
View attachment 33446
View attachment 33447
View attachment 33449
Sasa iyo picha chini ina THIBITISHA kama imekubali kuto ku autorun kwasababu ukianglaia kwneye My Computer iyo icon haipo kabisa lakin
Kwenye dashboard imesoma na kuconncet fresh kabisa
View attachment 33451
Then sasa fungua dashboard ya JOIN AIR
View attachment 33450
YAP MPAKA APO NIMEFIKIA MWISHO WA MAELEZO NA I HOPE KUWA MTAFANIKIWA NA KUONA HII
THREAD INA MSAADA KWAKO NI HAYO 2 HOPE MTAFANIKIWA ALL THE BEST NA NIGEPENDA KUONA
FEEDBACKS!
vp kuhusu modem nyinginezo kma tgo, sasatel
dah! Shukran mkuu maana,nilichoka na mb 250 kwa elfkumi,bt nw najiachia na mb400 Kwa sh2500.bravo!bravo!
Mkuu hujafuatilia vizuri tu. Solution ya modem za tigo za huawei 153e nenda hapa:Yap.! tusaidieni na jinsi ya kutumia modem za tigo kwa line zote, plz.