Fundikiller; Malaika wa kifo

Una uhakika itakuwa hivyo
Usije ukaishia kuwa mteja wa dr Mwaka
Just kidding....
Hongera kwa kufunga pingu ya milele oops ya majira tofautitofauti
Hahahaaa
 
Fundi Killer Ndio uyu Aliye Kuwa Anakaa Maeneo Ya Michael Chein Akafaga Miaka Fran Iv Ya Nyuma Au...??

Nimewaza Tuuu
 
FUNDI kanunua BUNDI majnuni machoni kichwani akilini tathimini wamemrubuni MBUNI
 
Fundikiller ni kaka yake kabisa wa Mng'oa kucha. Wamezaliwa kwenye boma moja mama zao ni mtu na mke mwenza.

Ni ndugu ila wanakazi tofauti kama ule usemi wa mimi maji wewe moto nakuzima [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Niombee tu.. Maana huku chumbani ni bandika bandua. . .
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] hiyo bandika bandua itatuletea shida kwa kutengeneza vi-Mshana vitakavyokuja kututisha na vi-article vya ulozi
 
Sio watch out, ambayo ni sahihi. Ilikuwa 'watch it!'
Hii "watch it" ndio imenifanya nighairi nisilete muendelezo wa andiko hili la fundikiller
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] hiyo bandika bandua itatuletea shida kwa kutengeneza vi-Mshana vitakavyokuja kututisha na vi-article vya ulozi
[emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji35] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Sina jinsi zaidi ya kukupa like tuu
 
[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22] hiyo bandika bandua itatuletea shida kwa kutengeneza vi-Mshana vitakavyokuja kututisha na vi-article vya ulozi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…