zaraki kenpachi
Member
- Oct 26, 2018
- 21
- 25
Naomba kuuliza fundi mzuri wa mifumo ya umeme wa gari, nina crown ambayo inanyonya battery, nimeweka battery mpya na bado imeisha charge.
Ndo maana nikaja kupata muongozo ili niwe salamaKwenye ishu ya fundi umeme wa gari kuwa makini sana ingia gharama tafuta fundi wa kueleweka sio hawa wa kuunga unga,,,
GobaUpo maeneo gani?
Asante sanaKama upo Dar mcheki huyu +255674868809 anaitwa Hakika, ni fundi mzuri sana
Suala dogo hilo, shida hapo ni alternator haifui Umeme kurudisha kwenye betri, shida inaweza kuwa brush au almechaKwenye ishu ya fundi umeme wa gari kuwa makini sana ingia gharama tafuta fundi wa kueleweka sio hawa wa kuunga unga,,,