MIUNDOMBINU JF-Expert Member Joined Apr 14, 2010 Posts 466 Reaction score 101 Jan 30, 2012 #1 Kwa mwenye utaalamu wa kurekebisha machine ya kuhesabu pesa naomba tuwasiliane kwa 0762490080 nina machine inanisumbua. Asante.
Kwa mwenye utaalamu wa kurekebisha machine ya kuhesabu pesa naomba tuwasiliane kwa 0762490080 nina machine inanisumbua. Asante.
Bumpkin Billionare JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 1,332 Reaction score 621 Jan 30, 2012 #2 Hiyo machine ipo wapi? Kama ni mwanza au dar mafundi wapo
Dr Matola PhD Platinum Member Joined Oct 18, 2010 Posts 61,649 Reaction score 109,304 Jan 30, 2012 #3 Duh hii dunia kweli ina mambo, yaani sisi wengine hata za kuhesabu mkononi hatuna wewe una mashine kabisa ya kuhesabia pesa? hongera sana bana.
Duh hii dunia kweli ina mambo, yaani sisi wengine hata za kuhesabu mkononi hatuna wewe una mashine kabisa ya kuhesabia pesa? hongera sana bana.