Fundi wa kutengeneza na kurepair sofa Pia tunauza

Fundi wa kutengeneza na kurepair sofa Pia tunauza

Pate_15

Senior Member
Joined
Oct 26, 2013
Posts
156
Reaction score
48
Habari zenu nduguzangu,!
Tunatengeneza na kurepair sofa aina zote pia tunauza sofa za kisasa kabisa kwa bei ya kiu-dugu (rahisi).
We are available at sinza kwa remmy, you are most coolly welcome.

For more mawasiliano:
Humu humu jamiiforum kwa wastaarabu.
Au raphaelisack@gmail.com
Mobile. 0719807113
 
Picha????????[/QUOTE
Jaman et kila nkijaribu kupost picha inakua hivi
"Do you want to insert the previously save draft to this post"
Yes Start now

Nkipress yes inakataa na nkipress start now pia inakataa
Nfanyaje et
 
Jamani nimejaribu kupost picha ila imeshindikana hivo ukiwa interested nichek whatsup kwa namba hiyo 0719807113 then ntatuma picha
 
Kwa "fotopina" kochi la watu watatu na single mbili mna repair kwa sh.ngapi!?
 
Kwa "fotopina" kochi la watu watatu na single mbili mna repair kwa sh.ngapi!?

Tunaangalia uhai wa godoro/sit ya koch yako na aina ya kitambaa unachohitaji lukiweka
 
Habari zenu nduguzangu,!
Tunatengeneza na kurepair sofa aina zote pia tunauza sofa za kisasa kabisa kwa bei ya kiu-dugu (rahisi).
We are available at sinza kwa remmy, you are most coolly welcome.

For more mawasiliano:
Humu humu jamiiforum kwa wastaarabu.
Au raphaelisack@gmail.com
Mobile. 0719807113

Isack weka bei ya huduma zako. Au ndio unaanza biashara.
 
Back
Top Bottom