Fundi wa kushona sare za shule

Fundi wa kushona sare za shule

Namche Bazar

Senior Member
Joined
Apr 8, 2019
Posts
122
Reaction score
179
Habari za Usiku?

Natafuta fundi mzuri wa kushona sare za shule ya msingi na chekechea aliyopo Tanga mjini.

Fundi awe anajua kushona na pia kuleta machine yake/zake na kushonea sare ilipo shule.
Kwa anayemjua fundi mzuri,tuwasiliane PM.
 
Back
Top Bottom