Fundi wa Flat TV-Dar

Mosskiss

Senior Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
158
Reaction score
103
Kama flat tv yako ina changamoto imeharibika au haifanyi kazi (mbovu)
Karibu tukumalizie tatizo lako mara moja
Tatizo lolote la tv tunasolve..
Ofisi ipo ilala karume.

NB: KWA WALIOVUNJIKIWA VIOO VIMEKUA ADIM SANA.. NA CHANGAMOTO NI BEI..
Pia nanunua tv mbovu zilizoshindikana kama spea

Call/WhatsApp 0713799522
 
Yangu kioo kimevunjika hakifanyi kazi ,naweza pata hicho kioo 32"?
 
Yangu Boss 55" kioo kimevunjika... Watoto hawa walitoka nayo juu ukutani mpka chini, nashukuru Mungu wapo salama...

Hii kioo chake Milioni ngapi mkuu? Au kimeshuka mpaka maelfu
 
Hakuna kampuni zinazo ingiliana vioo?
 
Yangu Boss 55" kioo kimevunjika... Watoto hawa walitoka nayo juu ukutani mpka chini, nashukuru Mungu wapo salama...

Hii kioo chake Milioni ngapi mkuu? Au kimeshuka mpaka maelfu

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
TCL 32" inaonyesha kwa muda mchache then kioo kinakuwa giza tupu unasikia sauti tu. Je tatizo ni nini? Unaweza kusolve?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Yangu kuna dogo amelock kwenye upande wa USB,/ Flash haisomi kabisa, vipi nitawezaje kuunlock coz nipo mkoani, kwenye setting niende wapi kuunlock, Tv ni Led (HDMI)

nategemea majibu mkuu, asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…