umeshatatuliwa tatizo lako?kama bado jieleze vizuri unaweza kusaidiwa hapa hapa au fundi akafika kwako.unapoiwasha inaleta error msg gani au inatoa sauti gani au haiwaki kabisa?ni computer ya aina gani?na mambo ka hayo
umeshatatuliwa tatizo lako?kama bado jieleze vizuri unaweza kusaidiwa hapa hapa au fundi akafika kwako.unapoiwasha inaleta error msg gani au inatoa sauti gani au haiwaki kabisa?ni computer ya aina gani?na mambo ka hayo