Fundi Trekta anapatikana

Fundi Trekta anapatikana

Styvo254

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
246
Reaction score
228
Habari za kazi wanaJF
Ningependa kutangaza upatikanaji wa huduma za kiufundi kwa wenye trekta na vyombo vinginezo vya ukulima kama vile combine harvester, generator, pump na kadhalika.
Tatizo liwe ni engine, mfumo wa hydraulic, transmission/gearbox au hata service za kawaida, huduma ni ya hali ya juu na kutumia vipuri halisi na bora.
Mawasiliano: twaeza tumia inbox ya hapa JF ili kuwezesha ufatiliaji kwa urahisi - reputation building.
Asanteni.
 
Habari za kazi wanaJF
Ningependa kutangaza upatikanaji wa huduma za kiufundi kwa wenye trekta na vyombo vinginezo vya ukulima kama vile combine harvester, generator, pump na kadhalika.
Tatizo liwe ni engine, mfumo wa hydraulic, transmission/gearbox au hata service za kawaida, huduma ni ya hali ya juu na kutumia vipuri halisi na bora.
Mawasiliano: twaeza tumia inbox ya hapa JF ili kuwezesha ufatiliaji kwa urahisi - reputation building.
Asanteni.
Massey ferguson 698 ina tatizo la breki naomba ushauli
 
Massey ferguson 698 ina tatizo la breki naomba ushauli
Lazima ikaguliwe mfumo wa hydraulic - mfumo wa breki hutegemea mskumo wa mafuta, na pia mfumo wa breki toka pedal, brake valve, hadi kwa brake pistons zilioko kwa mapaja.
 
Habari za kazi wanaJF
Ningependa kutangaza upatikanaji wa huduma za kiufundi kwa wenye trekta na vyombo vinginezo vya ukulima kama vile combine harvester, generator, pump na kadhalika.
Tatizo liwe ni engine, mfumo wa hydraulic, transmission/gearbox au hata service za kawaida, huduma ni ya hali ya juu na kutumia vipuri halisi na bora.
Mawasiliano: twaeza tumia inbox ya hapa JF ili kuwezesha ufatiliaji kwa urahisi - reputation building.
Asanteni.

mkuu kuna mzee anaiuza trekta farm trac zile za suma jkt,ila tatizo kuu ni engine anasema japokuwa hamna fundi aliyelitengeneza mpaka sasa. nipe ushauri je spear zake zipo na linaweza kupona kabisa?
 
Spare zipo na laweza kupona kabisa! Cha msingi/muhimu ni fundi atakaye shughulikia - ukimpa asiejua atalichokora na mwishoe akupe hadithi nzuri aitha vile mashine hiyo hua hairekebishiki au spare hazipatikani.
 
Habari za kazi wanaJF
Ningependa kutangaza upatikanaji wa huduma za kiufundi kwa wenye trekta na vyombo vinginezo vya ukulima kama vile combine harvester, generator, pump na kadhalika.
Tatizo liwe ni engine, mfumo wa hydraulic, transmission/gearbox au hata service za kawaida, huduma ni ya hali ya juu na kutumia vipuri halisi na bora.
Mawasiliano: twaeza tumia inbox ya hapa JF ili kuwezesha ufatiliaji kwa urahisi - reputation building.
Asanteni.
Wewe uko wapi??
 
Mkuu nataka kununua used massey MF 375 naomba ushauri
Juu ya 1. Capacity yake wakati wa kulima
2. Fuel Consumption
3. Durability yake

Naomba ushauri wako u compare na Mashine za sasa kama newholland
 
Aisee planja za pump ya yto catic 704 unazo
Nipe taarifa(details) zote za chombo au mfumo; picha ya VIN plate, kibati kilichonukuu taarifa za chombo, au picha zake(chombo)
 
Mkuu nataka kununua used massey MF 375 naomba ushauri
Juu ya 1. Capacity yake wakati wa kulima
2. Fuel Consumption
3. Durability yake

Naomba ushauri wako u compare na Mashine za sasa kama newholland
Hbr za leo kaka,
Nipe mda kidogo nichunguze kisha nikupe taarifa kamilifu.
 
Back
Top Bottom