Deleted_account
JF-Expert Member
- Nov 1, 2008
- 3,385
- 3,702
Nipo hapa kigamboni eneo la kampuni za mafuta tumesikia mlio mkubwa kama wa bomu karibu na kampuni ya mafuta ya MOIL.
Waliotokea upande huo wanasema kuna fundi wa Tanesco amelipukiwa na umeme na amekuwa mwekundu mwili mzima(sidhani kama bado yupo hai) na pia wanasema kuna pikipiki imeungua vibaya.
Tupeni taarifa kamili mliopo upande huo au jirani
UPDATES:
Fundi ameharibika vibaya hadi mifupa mbalimbali katika mwili wake inaonekana,amekimbizwa Muhimbili.
Waliotokea upande huo wanasema kuna fundi wa Tanesco amelipukiwa na umeme na amekuwa mwekundu mwili mzima(sidhani kama bado yupo hai) na pia wanasema kuna pikipiki imeungua vibaya.
Tupeni taarifa kamili mliopo upande huo au jirani
UPDATES:
Fundi ameharibika vibaya hadi mifupa mbalimbali katika mwili wake inaonekana,amekimbizwa Muhimbili.