Fundi Tanesco alipukiwa na umeme

Fundi Tanesco alipukiwa na umeme

Deleted_account

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2008
Posts
3,385
Reaction score
3,702
Nipo hapa kigamboni eneo la kampuni za mafuta tumesikia mlio mkubwa kama wa bomu karibu na kampuni ya mafuta ya MOIL.
Waliotokea upande huo wanasema kuna fundi wa Tanesco amelipukiwa na umeme na amekuwa mwekundu mwili mzima(sidhani kama bado yupo hai) na pia wanasema kuna pikipiki imeungua vibaya.

Tupeni taarifa kamili mliopo upande huo au jirani

UPDATES:
Fundi ameharibika vibaya hadi mifupa mbalimbali katika mwili wake inaonekana,amekimbizwa Muhimbili.
 
bila shaka kuna hujuma imefanyika hapa,.

Kwanini wasinge-switch off kwanza kama kulikuwa na marekebisho kwenye hiyo service line,.

Watanzania tuache kufanya kazi kwa mazoea, mambo mengine ni hatari hayahitaji wala huwezi kuwa na mazoea nayo!!
 
Nipo hapa kigamboni eneo la kampuni za mafuta tumesikia mlio mkubwa kama wa bomu karibu na kampuni ya mafuta ya MOIL.
Waliotokea upande huo wanasema kuna fundi wa Tanesco amelipukiwa na umeme na amekuwa mwekundu mwili mzima(sidhani kama bado yupo hai) na pia wanasema kuna pikipiki imeungua vibaya.

Tupeni taarifa kamili mliopo upande huo au jirani

we ndo uko jirani halafu unaomba taarifa tena... ebo!!!!?
 
ndio alikuwa anatengeneza mgao uishe au uharibifu tu...?
 
I think he was working while the "Mgao" in action. Unexpectedly, it returned... Guess what.
 
Pole Fundi

Mungu akupe wepesi upone haraka !
 

maskini fundi!!
ina maana hawakujua kua
kuna matengenezo pande hizo?
 
Back
Top Bottom