Fundi rangi njoo tuongee

Fundi rangi njoo tuongee

msumeno

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2009
Posts
2,826
Reaction score
1,738
Fundi ninashida ya kupakiwa nyumba yangu rangi,,, sina pesa nyingi ila kama ww ni fundi na unashida kama mimi twaweza saidiana. Kuhusu mahala nyumba iliko ni bunju muhimu kuzingatia nahitaji fundi wa kupaka rangi nje na ndani.. Na

1. Ushauri wa rangi nzuri yenye kuvutia ..
2. Bei ya ndoo kwa kila aina uloshauri
3. Vifaa hitajika
4. Gharama (labour charge)

asante
 
Fundi ninashida ya kupakiwa nyumba yangu rangi,,, sina pesa nyingi ila kama ww ni fundi na unashida kama mimi twaweza saidiana. Kuhusu mahala nyumba iliko ni bunju muhimu kuzingatia nahitaji fundi wa kupaka rangi nje na ndani.. Na

1. Ushauri wa rangi nzuri yenye kuvutia ..
2. Bei ya ndoo kwa kila aina uloshauri
3. Vifaa hitajika
4. Gharama (labour charge)

asante

Angalia kuna mtu anajiita Fundi rangi kuna uzi ameanzisha kuhusu rangi anaonekana ni mtaalamu ameweka namba yake. Jaribu kusearch ni uzi mpya.
 
Last edited by a moderator:
Fundi ninashida ya kupakiwa nyumba yangu rangi,,, sina pesa nyingi ila kama ww ni fundi na unashida kama mimi twaweza saidiana. Kuhusu mahala nyumba iliko ni bunju muhimu kuzingatia nahitaji fundi wa kupaka rangi nje na ndani.. Na

1. Ushauri wa rangi nzuri yenye kuvutia ..
2. Bei ya ndoo kwa kila aina uloshauri
3. Vifaa hitajika
4. Gharama (labour charge)

asante

0766111212..jamaa anaonekana ni mtaalamu sana wa rangi..cheki nae hapo..na kuna post yake unaweza ukaangalia na kazi zake..
 
Inabidi nifike site ndio nikupe garama husika kulingana rain meter ya nyumba yako nipigie no, 0683447725
 
0766111212..jamaa anaonekana ni mtaalamu sana wa rangi..cheki nae hapo..na kuna post yake unaweza ukaangalia na kazi zake..

asante sana mkuu,,,, ngoja nimcheck sasa hivi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom