Fundi jenereta anahitajika

Fundi jenereta anahitajika

kayimukaa

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
494
Reaction score
669
Heshima zenu wakuu. mimi nipo dar maeneo ya ubungo na nina jenereta langu aina ya tiger saiz ya kati imegoma kabisa kuwaka na tangu niinunue ina miez minne tu. kwa iyo naomba mnielekeze sehem yenye fundi genereta wa uhakika kwa dar na hata kama kuna fundi wa uhakika sehem, basi naombeni namba zake nimtafute anifanyie hiyo kaz. Natanguliza shukrani wakuu..
 
Heshima zenu wakuu. mimi nipo dar maeneo ya ubungo na nina jenereta langu aina ya tiger saiz ya kati imegoma kabisa kuwaka na tangu niinunue ina miez minne tu. kwa iyo naomba mnielekeze sehem yenye fundi genereta wa uhakika kwa dar na hata kama kuna fundi wa uhakika sehem, basi naombeni namba zake nimtafute anifanyie hiyo kaz. Natanguliza shukrani wakuu..
nitafute kwenye 0717567879.karibu
 
Back
Top Bottom