kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,079
- 10,386
Wakuu nimemwita fundi wa kuweka sink kwenye vyoo viwili lakini amechafua kwa kuweka cement na hivyo sink zote zimepoteza ule weupe wake sasa mwenye uelewa wa kuondoa huu uchafu kwenye haya masink anisaidie.
Asante.
Asante.