jonas amos
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 3,648
- 4,451
Bro sidhan kama inawezekanakuna battery (CMOS battery) ndogo kama ya saa hukaa karibu na Processor, itoe kisha irudishie, computer itasahau kila kitu including that password!
Bro sidhan kama inawezekanakuna battery (CMOS battery) ndogo kama ya saa hukaa karibu na Processor, itoe kisha irudishie, computer itasahau kila kitu including that password!
Niko victoria mkuu karibu na makumbushoUko dar sehemu gani tufanye kazi mkuu.
Ulifanyaje mkuuMkuu wewe ndie waweza msahidia hawa wengine wanasema kuchomoa CMOS battery akuna hiyo kitu labda Yale ma desktop YA kizaman.... Mm nilishachomoa battery kwa siku Saba nikasafiri nikarudi Bado ikakumbuka password...... Bios password wacha kabisa ni mzuri kwenye computer. Pale wezi wanapokuibia watasota Sana kuiweka vizuri....