- Thread starter
- #21
Tokea hapo tunajua kwamba hawana msimamo wowote. Lkn huwa wanakijeruhi chama.Endeleeni kudanganywa. CCM ni wavuvi wajanja. Wanajua pweza alipo.
Ccm hawana habari ya kushindwa hawajadili hilo Zanzibar. Maana akina Jecha wapo wengi. Hilo sio lakujadili.