joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 19,399
- 41,522
Al Ahly daah wanaongoza hawa jamaa wanajua nini maana ya objective football.
Tulia waarabu lazima waondoshwe.Tayari huko keshagongwa Masandawane
Moja watachukua weusi.Kama ndo hivyo anza kuhesabu maumivu makombe yote mawili ni ya waarabu
Hakuna hili ni la Al ahly na lingine ni la RS berkaneMoja watachukua weusi.
South Africa wanapeleka fainali timu moja tu na siyo ligi ya mabingwa ila shirikishoKuna hati hati ya nchi moja kucheza fainali
Ngoja tuoneSouth Africa wanapeleka fainali timu moja tu na siyo ligi ya mabingwa ila shirikisho
Wanacheza mpira wa kizamani mnoMamelodi wakienda kushambulia, hawaendi kwa kasi bali mipasi kibao, Al Ahly wakishambulia wanaenda kwa kasi
Mamelodi kakoswa koswa goli la pili
Leo naziona 3Mechi ya kwanza alifungwa bao 2 ila VAR ikazikataa
Pira hili mara nyingi wanachezaga Barcelona anakuachia ucheze yeye anakutegea tu kwenye mikimbioAl ahly wameanza mtindo mpya, wanakuacha umiliki mpira ili wakupige goli la kaunta, tofauti na zamani ambapo wanakuwa wanamiliki mpira na wanakushambulia mfululizo.
Hii style yao itawalipa sana, ngoja tuone
Kihalali au kimchongo? sikucheki game aiseeMechi ya kwanza alifungwa bao 2 ila VAR ikazikataa