Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,588
Pasco ameingia mitini Mzee Mwanakijiji anapiga porojo tu Facebook.Kazi tuliyotumwa na umma tumeimaliza,
Last edited by a moderator:
Pasco ameingia mitini Mzee Mwanakijiji anapiga porojo tu Facebook.Kazi tuliyotumwa na umma tumeimaliza,
apigweeee
Tena mwanaume kujichekesha kwenye swala serious kama hili lazima tu mdauti tu si bure
Nimeshuhudia tundu Lissu akimpigia makofi zitto kabwe na kumpatia mkono wa pongezi mara baada ya kumaliza kusoma report PAC, siasa tamu sana
Hahahah yaani zitto kabwe amanifurahisha sanaSio kazi ndogo hiyo mkuu.
Life on the line
Ni mkatoliki, ni kiongozi wangu WA kiroho sijui najificha wapi!!
Pasco ameingia mitini Mzee Mwanakijiji anapiga porojo tu Facebook.
Jamani mumuonee huruma kidogo!
hukumu hiyo mjomba haitaki mbwembwe ,huyo ndiyo Deo anawamaliza taratibuDeo umepooza
Hahaaa hilo jike linakua wapi sasa?