TODAYS
JF-Expert Member
- Apr 30, 2014
- 15,202
- 25,377
Nchi yetu inavuja jasho na damu kwa ndugu wengi baada ya maandamano.
Jana kaapishwa Mwanasheria Mkuu AG Johari, moja ya kauli yake ambayo inagonga na kuongelewa sana kila mtu ni kuhusu Kumkamata Mange Kimambi anayeishi USA.
Moja kwa moja kwenye point;
1. Kumkamata itakuwa si kazi rahisi kiasi cha kutamka mbele ya camera.
2. Wakati Marekani inaangalia upya mfumo wake wa kimuingiliano na mataifa mengi ikiwemo Tanzania hilo linaongeza ugumu.
3. Kura kwa urefu wa kamba...
Point hii ni moja ya sababu kuandika huu uzi, kwa sababu kila kiongozi anaangalia eneo ambalo anaweza kupiga pesa.
Kupitia hii "TUTAMKAMATA" kuna uwezekano mkubwa sana ofisi hiyo kutumia rasilimali fedha nyingi ikiwa na kigezo cha kumtafuta na kumuweka mtegoni huyo binti.
Hivyo serikali itawekeza mali/pesa kwa njia yoyote ili kumnasa huyo binti, kitu ambacho baadaye tukiwa hai tutakuja kuanzisha mada nyingi sana hapa JF kushutumu ulaji wa fedha kwa kigezo cha Mange.
Yangu ni hayo kutokea Dodoma kwa sasa.
Jana kaapishwa Mwanasheria Mkuu AG Johari, moja ya kauli yake ambayo inagonga na kuongelewa sana kila mtu ni kuhusu Kumkamata Mange Kimambi anayeishi USA.
Moja kwa moja kwenye point;
1. Kumkamata itakuwa si kazi rahisi kiasi cha kutamka mbele ya camera.
2. Wakati Marekani inaangalia upya mfumo wake wa kimuingiliano na mataifa mengi ikiwemo Tanzania hilo linaongeza ugumu.
3. Kura kwa urefu wa kamba...
Point hii ni moja ya sababu kuandika huu uzi, kwa sababu kila kiongozi anaangalia eneo ambalo anaweza kupiga pesa.
Kupitia hii "TUTAMKAMATA" kuna uwezekano mkubwa sana ofisi hiyo kutumia rasilimali fedha nyingi ikiwa na kigezo cha kumtafuta na kumuweka mtegoni huyo binti.
Hivyo serikali itawekeza mali/pesa kwa njia yoyote ili kumnasa huyo binti, kitu ambacho baadaye tukiwa hai tutakuja kuanzisha mada nyingi sana hapa JF kushutumu ulaji wa fedha kwa kigezo cha Mange.
Yangu ni hayo kutokea Dodoma kwa sasa.