Fukuzia kijana usikate tamaa

Fukuzia kijana usikate tamaa

Sawa mkuu ila lengo la kukomaa miaka yote iyo linakua nn?
 
We semester tatu tu una give up watu tulifukuzia hadi semester 6 kabisa lakn bado tumo tu japo nilimalza college nakuendelea kukataliwa na binti hadi sasa nimo tu ila bint kaisha omba po lakn mm bado huwa sipendag kukataliwa mm.
Mkuu hii tabia ya kukataliwa afu ndio unazidi kukaza namba ata mie naipenda sana, siwezi kukata tamaa na MWANAUME anaekata tamaa ni yule aliekufa.
 
Nikajua unawashauri vijana wafukuzie mafanikio wasikate tamaa.kumbe mademu
 
Niko tofauti kabisa na mtoa mada,
Nikitema madini Yangu siku ya kwanza, siku ya pili mpaka siku ya tatu kwa mwanamke, asipoyaweka Sokoni yakanunuliwa!!!!
Sirudii tena.

Kifupi sipendi mwanamke wa kunipa Kalenda kama anayepanga mechi za EPL.
 
Niko tofauti kabisa na mtoa mada,
Nikitema madini Yangu siku ya kwanza, siku ya pili mpaka siku ya tatu kwa mwanamke, asipoyaweka Sokoni yakanunuliwa!!!!
Sirudii tena.

Kifupi sipendi mwanamke wa kunipa Kalenda kama anayepanga mechi za EPL.
naona hupendagi ujinga ww.
 
Daahh kuna demu nimemfukuzia semista tatu ananizingua tuu.!! Yan mpka nkaamua nifute hadi namba zake kabsaa
Ila kutokana na huu uzi mkuu wacha nimfuatilie tena mana huez jua
mimi semester ya pili sasa napigishwa kalenda eti tuzd kuwa marafk tu....naanza kuchoka sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom