Fukuzafukuza ndani ya CHADEMA inasimamiwa na Mungu

Fukuzafukuza ndani ya CHADEMA inasimamiwa na Mungu

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,699
Reaction score
164,979
Ujasiri wa viongozi wa CHADEMA katika ngazi zote si bure bali ni makusudio ya mwenyezi Mungu ili ukombozi wa mtanzania utimie kupitia CHADEMA.

Mimi naamini CCM wako nyuma ya wasaliti wote hawa kwa lengo la kutaka kuisambaratisha CHADEMA ila watambue CHADEMA ni chama teule kutoka kwa mwenyezi mungu.

Kama jinsi Mungu alivyotumia mitume wake kuokoa wanadamu ndivyo hivyo atakavyokitumia CHADEMA kuwaokoa watanzania.

Kwa nguvu za mwenyezi mungu hata pesa haitafua dafu katika vita hii.
 
Ujasiri wa viongozi wa CHADEMA katika ngazi zote si bure bali ni makusudio ya mwenyezi Mungu ili ukombozi wa mtanzania utimie kupitia CHADEMA.

Mimi naamini CCM wako nyuma ya wasaliti wote hawa kwa lengo la kutaka kuisambaratisha CHADEMA ila watambue CHADEMA ni chama teule kutoka kwa mwenyezi mungu.

Kama jinsi Mungu alivyotumia mitume wake kuokoa wanadamu ndivyo hivyo atakavyokitumia CHADEMA kuwaokoa watanzania.

Kwa nguvu za mwenyezi mungu hata pesa haitafua dafu katika vita hii.

Bahati nzuri Mungu ni wa wote CCm, TLP, CUF n.k. Na si wa Chacema pekee. Polemic.
 
Ujasiri wa viongozi wa CHADEMA katika ngazi zote si bure bali ni makusudio ya mwenyezi Mungu ili ukombozi wa mtanzania utimie kupitia CHADEMA.

Mimi naamini CCM wako nyuma ya wasaliti wote hawa kwa lengo la kutaka kuisambaratisha CHADEMA ila watambue CHADEMA ni chama teule kutoka kwa mwenyezi mungu.

Kama jinsi Mungu alivyotumia mitume wake kuokoa wanadamu ndivyo hivyo atakavyokitumia CHADEMA kuwaokoa watanzania.

Kwa nguvu za mwenyezi mungu hata pesa haitafua dafu katika vita hii.

Nikweli kabisa hakuna mafanikio yasiyo kuwa na vikwazo wakati mwingine inabidi kuchukua maamuzi magumu ili malengo ya timie
 
kweli hata shetani hujigeuza malaika wa nuru mungu wa sumu,uzinzi.wizi,rushwa.ujuaji,ubabe,husda.kijicho.uchawi.majivuno yupo cdm
 
Ujasiri wa viongozi wa CHADEMA katika ngazi zote si bure bali ni makusudio ya mwenyezi Mungu ili ukombozi wa mtanzania utimie kupitia CHADEMA.

Mimi naamini CCM wako nyuma ya wasaliti wote hawa kwa lengo la kutaka kuisambaratisha CHADEMA ila watambue CHADEMA ni chama teule kutoka kwa mwenyezi mungu.

Kama jinsi Mungu alivyotumia mitume wake kuokoa wanadamu ndivyo hivyo atakavyokitumia CHADEMA kuwaokoa watanzania.

Kwa nguvu za mwenyezi mungu hata pesa haitafua dafu katika vita hii.

Bahati nzuri Mungu ni wa wote CCm, TLP, CUF n.k. Na si wa Chacema pekee. Poleni. Mmeshaumia.
 
MUNGU anawavumilia wenye dhambi akiamini siku moja watakuja kutubu na kumrudi yeye (in short MUNGU wa kweli anasubira). Kazi ya shetani siku zote ni kuangamiza akipata nafasi. Je huyu Mungu unaye msema ni yupi? Kama ni huyu MUNGU wangu wa kwenye Biblia Takatifu, jipange uzifahamu Tabia za MUNGU kama ambavyo Biblia Takatifu imemuelezea. Kumbuka imeandikwa.... "Usilitaje bure jina la bwana MUNGU wako".
 
tusimtaje Mungu wa biblia kwenye madhambi ya kubagua watu kikabila na kidini chadema ipo kishetani zaidi
 
Ujasiri wa viongozi wa CHADEMA katika ngazi zote si bure bali ni makusudio ya mwenyezi Mungu ili ukombozi wa mtanzania utimie kupitia CHADEMA.

Mimi naamini CCM wako nyuma ya wasaliti wote hawa kwa lengo la kutaka kuisambaratisha CHADEMA ila watambue CHADEMA ni chama teule kutoka kwa mwenyezi mungu.

Kama jinsi Mungu alivyotumia mitume wake kuokoa wanadamu ndivyo hivyo atakavyokitumia CHADEMA kuwaokoa watanzania.

Kwa nguvu za mwenyezi mungu hata pesa haitafua dafu katika vita hii.

Ww Mungu achagu Kaskazn pekee yk maana pande zote n zake hebu 2mia falsafa za lugha kwa umahili co km unashikiwa akili na 4m 6 0
 
Hawezi kuwa Mungu naemuamini Mimi atakuwa ni miungu ya kichaga hio

Propaganda zenu hazitofua dafu!

Narudia ukombozi wa mtanzania ni makusui ya muumba.

Mungu amewachoka na madhambi na dhuluma yenu dhidi ya watanzania hawa masikini wanaoteseka na utawala wenu.
 
Back
Top Bottom