Fujo za Kariakoo

Fujo za Kariakoo

mdau dsm

Member
Joined
Jun 5, 2025
Posts
13
Reaction score
12
Ndugu wasomaji

Kama mnavyojua soko letu la kariakoo inavyopiga kazi kwa biashara lakini kwa saivi fujo zimezidi sana maana machinga wapo kila kona inakuwa usumbufu kwa sisi wafanyabiashara tunaolipa kodi na tumepanga duka maana wateja hawafiki madukani zetu kwa shida kama za parking salama ya gari zao , fujo au shida ya kuumia , lugha chafu ivi serekali inge wapangia sehemu maalumu kama solo ili wote tufanye biashara bila ugomvi na usumbufu

Hatupo against ya kufanya wamachinga biashara ila inatakiwa iwe yenye mwelekeo je wadau umnaonaje?
 
Kinachonikera zaidi Kkoo ni mawinga.

Unafika dukani unapokelewa na winga ana act kama muuzaji wa hapo anakupiga cha juu zaidi na mwenye duka kimyaa , ubaya wa huu ni kumkimbiza .teja kwenye hilo duka maana ataona bei za hapo ni juu .
 
Kinachonikera zaidi Kkoo ni mawinga.

Unafika dukani unapokelewa na winga ana act kama muuzaji wa hapo anakupiga cha juu zaidi na mwenye duka kimyaa , ubaya wa huu ni kumkimbiza .teja kwenye hilo duka maana ataona bei za hapo ni juu .
wenye maduka wenyewe mawinga😀😀😀
kuna ya bei ya group na bei ya kawaida so kama haupo group hununui jumla utapewa bei kama atakayokupa winga ti
 
Back
Top Bottom