Watu wamechoka
Mkuu hili swala la walionacho na wasiokuwa nacho ni balaa......ni bomu ambalo linangoja kulipuka muda wowotewatu wanaonyesha frustration ya maisha kwa namna yoyote ile
Mkuu hili swala la walionacho na wasiokuwa nacho ni balaa......ni bomu ambalo linangoja kulipuka muda wowote
Mkuu, watu wana hasira sana.....angalia wanavyolazimisha speed bumps kwa kulala batabarani. Watu wananisikia kama barabara ipo kwa ajili ya watu wengine.hapo umenena, watu wanalalamikia kila kitu na kutamani kuharibu mali ilimradi mtu akose.