ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,280
- 15,315
Gari ina nguvu? Kama haina cheki na upumuaji kwenye exhaust system (mufflers) .
Halafu kupima utumiaji wa mafuta kwa kuempty tank zima ni kosa. Unaweza kuingiza mafuta machafu kwenye mfumo since mafuta yanayokuwa kule chini kabisa huwa ni machafu..
Njia nzuri zaidi ni kujaza full tank, kuendesha kwa kilomita kadhaa, kisha kurudi kwenye pump ile ile uliyojaza full na kujaza full tank nyingine. Note zile lita zilizoingia ulipojaza full tank second time.
Gawanya kilomita ulizotembea kwa lita ulizojazia. Done.
sasa kuna starlet ilikuja hapa gereji mtaani sehemu ambayo mimi naweka mafuta ya elfu 30 arusha mjini to makumira university yeye mwenye starlet alitumia kama mafuta ya elfu 50......poa poa boss
2000cc
kwa hiyo 1 litre km 3 plus na siyo 1 litre km 8 plus kwa hiii gari
izo km 14 inatembea hadi kuzima mafuta nloweka niya elfu 10 ambayo n kama 4.4 litres
kwa iyo 4.4 kwa 14 km ni sawa?
Gari ipo Garage itafanyiwa Engine Overhauling kesho asubuhi.....mkuuSio sawa
Weka engine mpya tu mku Usiweke mswakiGari ipo Garage itafanyiwa Engine Overhauling kesho asubuhi.....mkuu
nlibadil pump juzi na kucheck oxygensensor leo kama ilivodai diagnosis machine naona imesogea sogea hadi 1litre per 5km.......naona improvement
kezho ovahauling maana inakosa nguvu kizembe kwenye mwinuko mdogo fundi kasema mlio wa injine sio sawa........lazima wachek cylinder head, gasket, piston na wasage valve ... tufunge thermostat maana iliungwa feni direct..
kweli kaka kama ulivosema gari limetoka garage juzi sasa lipo katika ubora wake lina nguvu safi.....nmezunguka sana ila tatizo limetatuliwa GARAGE YA DUTI IPO MAKUMIRA ARUSHA AISEE hawa jamaa ni mafundii watu wanatoka mjini wanaleta magari pande hizi....Duuuu pole sana, hilo tatizo linahitaji mafundi wazoefu na sio wale wa vijiweni wanaojifunza kazi kulingana na tatizo. Ukifanikiwa tujulishe gereji ipi waliweza kutarua tatizo na tatizo kubwa lilikuwa nini.
Duh! Not to that extent!yanatoka majiiiiiiiiiiii mkuu
Hongera mkuu kwa machine kurudi road,sa hivi consumption imekaaje kwa lita?Almost laki 9 hv kuanzia kubadil nozeli hadi engne overhauling.. Na ufundi. Pamoja na vifaa vidogo kama thermostat. Etc
Hongera mkuu kwa machine kurudi road,sa hivi consumption imekaaje kwa lita?
Mafuta ya elf 10 ulitakiwa utembee 50km au zaidi kwa gari lako
NMETOKA MAKUMIRA ARUMERU TO MOSHI (PASUA] KWENDA KURUDI NILIWEKA MAFUTA YA 30 elfu = 13.2 litres nmetembea zaid ya kilomita 160 (kwenda moshi na kurudi] speed 80-100 inapobidi 50 nmetumia online calculator inaonesha gari inaenda 12 KM PER LITRE.... Kama ifuatavyoView attachment 737965 View attachment 737967
Eti eeh!!!Mkuu...
Hii ni Rav4 sio vits...hahahaa
Kama ulikua unatestia kwenye barabara ya foleni kubwa unategemea matokeo gani?Jaman msaada gari yngu toyota rav 4 vx old model 1999 naona haipo sawa kwenye ulaji mafuta
Nikashauriwa niendeshe izime then niweke mafuta kidogo kwa ajili ya testing
Nikaweka mafuta ya 10,000 ambayo ni kama 4.4 litres hivi distance covered 13kilometers
Lilipozima nilirudia tena kuweka petrol ya 10,000 distance covered ikawa around 14 kilometers licha ya
1.Kubadili fuel filter
2.Kuweka sparking plugs mpya zote nzima
3.Nyaya za plugs mpya zote nzima
4.Fuel system throttle body ( regulate the amount of air that flows into the
Engine more details on - what is a fuel system 'throttle body'?)
Icho kifaa kilikua checked pia kiko freshi
Gari imetembea kilometers kama laki na arobaini tu [140,000]
Nimeuliza maana naambiwa atleast itembee 10 upto 14 kilometers per litre kwa hii gari
Wataalamu naombeni ushauri shida inaweza kuwa nini