MTINGIJOLI
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 1,361
- 1,325
Huyu Dogo Wa Kipemba, Midle anaitwa Nani? Mbona Kalegea
Cyo lazima zimbwe lkn mmmh kuna walakin hapaUlitaka akae MOHAMED HUSSEIN??
Subiri nitarudiwameruhusu goli ngapi mpaka sasa hawa pazia
Mkuu mna tiketi 4000 tayari mtagawiwa nenda tuSasa team kwa uchezaji huu nani ataenda kushangilia haina national spirit kabisa..
Wanacheza kama wapo mazoezi.
Sema hatuli hatuna physiqueUganda wanatumia Nguvu sana
Mpira Wa Kisasa, Mchezaji Unatakiwa Physically Fit!Uganda wanatumia Nguvu sana
Ulitaka nani aitwe?Kwa aina ya wachezaji hata Pep hawez kupata matokeo akifundisha hii timu
🤣🤣🤣 Wee pep usimuhusishe na vitu vya ajabuKwa aina ya wachezaji hata Pep hawez kupata matokeo akifundisha hii timu
Watu wanataka furaha sio karahaNilitegemea uzi ungekua na replies 800 plus aiseee kumbe simba na yanga zina watu na sijui kwanini hawa wasishangilie taifa stars
Kiungo wa Yanga huyo Mudathir Yahya. Kweli anaonekana angehitaji nyama nyama zaidi katika mwili wake.Huyu Dogo Wa Kipemba, Midle anaitwa Nani? Mbona Kalegea