FT' Tanzania 1-1 Tunisia - AFCON 2025| Group Stage | Group C | Match 3 of 3 | Stade Prince Moulay Abdallah Stadium | Saa 19:00 Usiku

FT' Tanzania 1-1 Tunisia - AFCON 2025| Group Stage | Group C | Match 3 of 3 | Stade Prince Moulay Abdallah Stadium | Saa 19:00 Usiku

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itashuka dimbani leo katika mchezo wake wa mwisho wa Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inayoendelea nchini Morocco. Mchezo huo utafanyika katika Uwanja wa Stade Prince Moulay Abdallah, kuanzia saa 1:00 kamili usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

Stars wanaingia katika mchezo huo wakiwa na alama moja (1) waliyoipata baada ya sare ya mabao 1–1 dhidi ya Uganda. Hata hivyo, wanakabiliwa na kibarua kigumu dhidi ya Tunisia, ambayo kwenye mchezo wake uliopita ilipoteza kwa mabao 3–2 dhidi ya Nigeria (Super Eagles).

Swali kubwa linabaki: Je, Taifa Stars wanaweza kutoboa na kupata matokeo chanya mbele ya Tunisia?.
1767109085277.png

Kikosi cha Tanzania dhidi ya Tunisia

1767109143229.png

Kikosi cha Tunisia kinachoanza dhidi ya Tanzania​
 
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itashuka dimbani leo katika mchezo wake wa mwisho wa Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inayoendelea nchini Morocco. Mchezo huo utafanyika katika Uwanja wa Stade Prince Moulay Abdallah, kuanzia saa 1:00 kamili usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

Stars watakuwa na kibarua kigumu wakivaana na Tunisia, ambayo kwenye mchezo uliopita ilipoteza kwa mabao 3–2 dhidi ya Nigeria (Super Eagles). Swali kubwa linabaki: Je, Taifa Stars wanaweza kutoboa na kupata matokeo chanya mbele ya Tunisia?.
Tunisia piga hao watu ..kipigo cha mbwa koko
 
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itashuka dimbani leo katika mchezo wake wa mwisho wa Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inayoendelea nchini Morocco. Mchezo huo utafanyika katika Uwanja wa Stade Prince Moulay Abdallah, kuanzia saa 1:00 kamili usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

Stars wanaingia katika mchezo huo wakiwa na alama moja (1) waliyoipata baada ya sare ya mabao 1–1 dhidi ya Uganda. Hata hivyo, wanakabiliwa na kibarua kigumu dhidi ya Tunisia, ambayo kwenye mchezo wake uliopita ilipoteza kwa mabao 3–2 dhidi ya Nigeria (Super Eagles).

Swali kubwa linabaki: Je, Taifa Stars wanaweza kutoboa na kupata matokeo chanya mbele ya Tunisia?.
Matokeo watapata.. wataloa zaidi ya 3.
 
Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, itashuka dimbani leo katika mchezo wake wa mwisho wa Michuano ya Mataifa ya Afrika (AFCON 2025) inayoendelea nchini Morocco. Mchezo huo utafanyika katika Uwanja wa Stade Prince Moulay Abdallah, kuanzia saa 1:00 kamili usiku kwa saa za Afrika Mashariki.

Stars watakuwa na kibarua kigumu wakivaana na Tunisia, ambayo kwenye mchezo uliopita ilipoteza kwa mabao 3–2 dhidi ya Nigeria (Super Eagles). Swali kubwa linabaki: Je, Taifa Stars wanaweza kutoboa na kupata matokeo chanya mbele ya Tunisia?.
Tunawaombea kila la heri, kwa mechi tulizocheza tumeona kiwango chetu kilipo, lakini nina imani kutokana na wachezaji tuliyonao tunaweza tukaonyesha kiwango bora zaidi na kushangaza dunia.

Mimi siyo kocha na siwezi kuingilia benchi la ufundi lakini ningependa kuona hawa wachezaji wakiipambania bendera ya Tanzania kwa kuanza leo:-
1 - Fofana
2 - Shomari Kapombe
3 - Mohamed Hussein
4 - Bacca
5 - Bakari Nondo
6 - Novatus
7 - Allarakhia
8 - Charles M’Mombwa
9 - Msuva
10 - Selemani Mwalimu
11 - Iddi Nado
 
Back
Top Bottom