kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,375
- 10,118
Nauliza tu Sio kwa ubaya,hii shughuli hapa tunayoiona ile namba 6 iliyoporwa Airport bado haijaingia..?
Kibu habadiliki kabisa.Huyu Kibu vipi
Bado kabisaNauliza tu Sio kwa ubaya,hii shughuli hapa tunayoiona ile namba 6 iliyoporwa Airport bado haijaingia..?
mmeanza tena ile tabia yenu ya kuwaelekeza makocha ?...😂😂😂Kama Robertihno Ataendelea Kumkumbatia Kibu anacho Kitafuta Atakipata
mmeanza tena ile tabia yenu ya kuwaelekeza makocha ?...[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni fireOnana Yupo Kila Upandee