Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,707
- 27,088
Wakati mwingine mpinzani ndie anamfanya asinzie, sio ubovu wa Simba SC.Simba hii progress sio nzuri..
This is a warning alert! We need to improve
huna unacho jua bosi ushindi wa simba 4–1 kwa al hilal ilikuwa ufunguzi wa simba super cupNi umri wako tu unaokufanya usijue tofauti kati ya Bonanza na CCL Group stages
Mtamanuliwa tu mtake msitakeNgoja tumalizane kwanza na hili disco toto. Wakubwa watacheza usiku wakati watoto wameshalala.
Tusubiri wale jamaa wa kule Sudan watakuwa na jipya gani.Jamaniiiiii saaa tatu tule tushibbeeeeeeee ili tucheke vizuri maana km raha imeshaanza mapema
Hata Al Hilal ni Zalan waliochangamka tu, nendeni mkawapige goli za kutosha.Hao Primera De Agosto ni Nyasa Big Bullets wa Angola. Hiyo timu hata ingecheza na Polisi Tanzania, ingefungwa goli nyingi tu.
Huyo ni dogo wa juzi anashabiki ki mhemkoNi umri wako tu unaokufanya usijue tofauti kati ya Bonanza na CCL Group stages
Kuna kuchoka bana kikubwa ushindiLengo limetimia ila Mgunda kuna kazi unatakiwa kuifanya. Timu leo haikucheza vizuri.
Ni kibri cha kuongoza magoli matatu ugenini, na walivyopata goli mapema basi sikutegemea la ziada.Hata Al Hilal ni Zalan waliochangamka tu, nendeni mkawapige goli za kutosha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiku ntasikiliza mechi yenu kwa kiarabu kinanogaga sana utasikia wasalamalekoo ykheeeee ni sufuriii bina hamsaaaaa
Kabisa...CAF wanaipendelea Simba
Auntie nakuona...Una ufalaaa![]()
Hivi haya magoli manne ya Simba tukimpa Yanga magoli mawili si anafuzu makundi?