FT: Senegal 1-0 Morocco | AFCON 2025 | Fainali | Stade Prince Moulay Abdallah | Jan 18, 10:00 PM | Senegal yatwaa Ubingwa

FT: Senegal 1-0 Morocco | AFCON 2025 | Fainali | Stade Prince Moulay Abdallah | Jan 18, 10:00 PM | Senegal yatwaa Ubingwa

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,500
1768728009015.png

AFCON 2025 Final Preview:

Wenyeji Morocco wako tayari kwa pambano kubwa dhidi ya mabingwa wa 2021 Senegal

Mchuano wa fainali wa Kombe la Mataifa ya Afrika 2025 unapingwa rasmi leo usiku m,ajira ya saa 4. Wenyeji na waliokuwa vinara kabla ya mashindano kuanza, Morocco, watakutana na mabingwa wa hivi karibuni Senegal, ambao walimaliza kiu yao ya muda mrefu ya taji chini ya miaka minne iliyopita.

1768728429860.png
 
Marefa watoke nje ya bara husa ulaya wakichezesha marefu wa Morocco 🇲🇦 hapo kutakuwa hkn mpira ni wizi tu
 
Watoke nje sio africa
Hujajibu swali langu

Anyway, Kwann watoke nje ya Afrika?

Kwann hiyo misingi mnayoiona kwa hao mnaowataka Waje msiweke Hiyo misingi kwa watu wenu wa ndani?
 
Hujajibu swali langu

Anyway, Kwann watoke nje ya Afrika?

Kwann hiyo misingi mnayoiona kwa hao mnaowataka Waje msiweke Hiyo misingi kwa watu wenu wa ndani?
Morocco wapigaji hao hawaaminiki ninauhakika hadi sasa wameshafanya mawasiliano na marefa wanaochezesha lkn pia senegal wamelalamikia huduma mbaya hizi zote ni mipango ya kuifelisha senegal.
 
Back
Top Bottom