FT| Esperance 1-0 Simba SC l CAF champion League l Hammadi Agrebi Stadium l 24 Jan 2026 l 19:00HRS

FT| Esperance 1-0 Simba SC l CAF champion League l Hammadi Agrebi Stadium l 24 Jan 2026 l 19:00HRS

Rushine ☆☆☆☆
Morice wasingemtoa ☆☆☆
Chama sijaona kitu☆☆
Kibabage anajiangusha sana ☆☆☆
Kapombe 😂 hamna kitu waachanr nae ☆☆
Gueye 🔥 ☆☆☆☆
Kipa save nzuri sana ☆☆☆
Sowah kurukaruka tu hana maajabu ☆☆☆
Mpanzuu hakupiga hata dribble ya maana ☆☆☆
Counter attack hazimaliziwi hawana muunganiko mzuri .
Poor performance ever
Shida sio kocha shida mentality
Matola akaepembeni mchango wake hauna msaada wowote
 
Acha kujikosha timu hauna umejiandaa kisaikolojia wapi wakati unaumia sana mwenzio ana point 4 wewe unaendelea kuwa na 0 huku ukiumia roho
Sisi tulishakubali team hakuna msimu huu.
Sijui nyie Barcelona ya Kulipia kidogo kidogo.
😂😂😂😂
 
Jiandae kuwa Mzalendo kushangilia Yanga maana utaenda kufanya maajabu na kuishangaza Africa na Dunia kwa ujumla mwaka huu .

Mokaolo tunawapokea kutushangilia
😂😂😂😂😂😂 poleeee wee.
 
Sisi tulishakubali team hakuna msimu huu.
Sijui nyie Barcelona ya Kulipia kidogo kidogo.
😂😂😂😂
Young Africans aka Pdidy wa makolo
Yupo nafasi ya pili kwenye msimamo wa group
Na Kuna uwezekano mkubwa tukaongoza kundi
Mambumbumbu wao Jana walienda Tunisia wakiwa wamevalia shanga
 
Young Africans aka Pdidy wa makolo
Yupo nafasi ya pili kwenye msimamo wa group
Na Kuna uwezekano mkubwa tukaongoza kundi
Mambumbumbu wao Jana walienda Tunisia wakiwa wamevalia shanga
Mme pididiwa na waarabu juzi na hata shahawa hamjazikamua, bado uko kuswampa hapa.
Em kaoshe kinyeo hiko, Lol
 
Mme pididiwa na waarabu juzi na hata shahawa hamjazikamua, bado uko kuswampa hapa.
Em kaoshe kinyeo hiko, Lol
Vipi nyie wagawa utamu mshazoea?
Basi March sio mbali tuwakamitie viuno vyenu vyenye shanga
 
Aisee ule mpira niliuona kwa Stade malien vs Simba, yaani ndio hawa ndio wanaifunga Petro Attletico goli mbili? Duh hili kundi lina vituko haswa
 
Rushine ☆☆☆☆
Morice wasingemtoa ☆☆☆
Chama sijaona kitu☆☆
Kibabage anajiangusha sana ☆☆☆
Kapombe 😂 hamna kitu waachanr nae ☆☆
Gueye 🔥 ☆☆☆☆
Kipa save nzuri sana ☆☆☆
Sowah kurukaruka tu hana maajabu ☆☆☆
Mpanzuu hakupiga hata dribble ya maana ☆☆☆
Counter attack hazimaliziwi hawana muunganiko mzuri .
Poor performance ever
Shida sio kocha shida mentality
Matola akaepembeni mchango wake hauna msaada wowote
Shida ni viongozi wa Simba, wameleta kocha mpya badala ya kumpa muda akae na timu wanaipeleka kwenye michuano ya ndondo mapinduzi cup hivi kulikuwa na ulazima gani?
 
Shida ni viongozi wa Simba, wameleta kocha mpya badala ya kumpa muda akae na timu wanaipeleka kwenye michuano ya ndondo mapinduzi cup hivi kulikuwa na ulazima gani?
Kuna haja gani ya kumweka matola kama kocha msaidizi ?? Huyo ndio anafelisha timu anaweka mbinu zilezile za matola wanasahau mbinu za kocha mkuu pantev ndio aliyakataa hayo wakampiga panga
 
Back
Top Bottom