Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 2,263
- 3,581
Mkuu upo mwembeyanga kwa big screen or upo Ujugu arena?Kwa nafasi hizi tunazokosa hovyohovyo bado kuna mtu anakuja kutaka tusifie wachezaji hapa.?
Naona unakosa utulivu hadi unataka kutukana wachezaji ambao hawakusikii🤣