FT| ASFC: Simba SC 5-1 Ihefu SC | Azam Complex Stadium | Aprili 7, 2023

FT| ASFC: Simba SC 5-1 Ihefu SC | Azam Complex Stadium | Aprili 7, 2023

Walifanya promosheni kubwa na mashabiki wakajua hapa ushindi ni kuanzia bao 3

Saizi tena kwa Rivers United wamekuja na ajenda ile ile ya kisasi
Ngoja tuwasubiri tuone maana watakuwa wamesahau walipigwa nje ndani na hao RIVERS🤣🤣
 
Mazoezi ya kukabili waidadi kasabulanka yule bingwa mtetezi wa kikombe cha timu bingwa Wa mabingwa Afirika yote.
 
Kuna timu tarehe 16 mwezi huuhuuu itacheza ikikumbuka ya Horoya
 
Kama alifungwa Horoya goli Saba itakuwa Ihefu!?
 
Back
Top Bottom