masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Uporoto iko Mbeya?
Hii lami haiwezi kuwa imetengenezwa na Mchina!
Nilijua tu!ni kweli hiyo ni lami ya mzungu (kampuni inaitwa "SOGEA" Mfaransa
Nilijua tu!
Du , kwa mtaji huuwa fikra nitaenda kulima!Mkuu kilimo kinalipa si kipole pole. Hasa kilimo cha mda mfupi kama hicho cha KABICHI.
Mradi uwe na soko lako la uhakika, na uwe umesimamia mwenyewe,au umemweka mtu unayemwamini katika usimamizi.
Ukisubiria kazi za kampuni binafsi zikutoe, utasota sana....
View attachment 62386
TAFAKARI......CHUKUA HATUA
Mandoline 109, mcho kati hiki chuma hakiwezi kukutupa mpaka kimerudisha fadhila.
ni kweli hiyo ni lami ya mzungu (kampuni inaitwa "SOGEA" Mfaransa