Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,806
Wanyaki, mbunye wanampa kila mtu, wanapenda pombe na outing kisa wanataka kuonekana wanakula bata.[emoji23][emoji23][emoji23]unamsema rafiki yangu mnyaki..mtata jaman..sijaongea naye mwaka mzima..last yr alisema yupo bored anataka kuja kwangu the next day.. nikanwambia wait mshahara utoke ndo uje tule bata..mie nw nina hela ya mawazo..kumbe kanuna[emoji23][emoji23]kamute mpk leo..mwaka umeisha!mtata..hakai na mwanaume ht 3mths..
Wanaume michosho tu samtaim.
Soon nitajiunga CHAPUTA
Wanyaki, mbunye wanampa kila mtu, wanapenda pombe na outing kisa wanataka kuonekana wanakula bata.
Basi bakini nao hao wanaowasikiliza.Wanaume tunaopenda kuwasikiliza wanawake tupo wachache, nanyi mkiwapata heshimuni ona unarudi kudanga tena
Chaputa huwezi ushazoea kuinjikwa mhogo unasugua pande 8 za K.Wanaume michosho tu samtaim.
Soon nitajiunga CHAPUTA
ππππππ leo unaknywa bia gan kali hvyoBasi bakini nao hao wanaowasikiliza.
Acha sie wenye masikio ya popo tupende tunapotaka.
Tangu umeanza kusoma pale mwanzo, nimekwambia natafuta bwana hapa!
Nawe usinichoshe wewe.
Kama huna la kuongea, kapige nyeto
comment yako kalisana aiseeee!nimezubaa ghaflaπChaputa huwezi ushazoea kuinjikwa mhogo unasugua pande 8 za K.
Fresh tu broda!!!Vipi dada?
Mbona una kitatange sana?
There is something you are hiding,yaani mtu kutoa quote mahali kama food of thought tu umechukulia serious namna hiyo?
Hiyo quote yaelekea ni applicable kwako sana ndio maana unajitutumua....Ingekua haina maana ungeipotezea..
Unajiamini na penzi lako,kwanini umekua worked out namna hii?
Unakua na pressure za Membe kama jiwe bana...Relaaaxxxxxx!
Enjoy your love bana!
Weee sijamtaja mtu!
Fresh tu broda!!!
Wala sina kitatange, wewe tu na roho yako ya kupaa na ungo kuleta quote isipohitajika.
Aliyekwambia nina pressure nani?
Mwanaume anipe presha mimi?
Ok tufanye yameisha babe.
Maana tukianza kuzozana hapa, tutafika mbali sana.
Byeeeeee!!!!!
Soon nitajiunga CHAPUTA
Mbona sijakuita me nimesema me sijamtaja mtu!Name Calling imekatazwa Jf.
Nakusemea kwa kaka Max
ππππ€π€ umenihamishaaHapa pembeni nina mzinga wa K-Vant, nasubiri baadae nilewe niende Karioke Papichullo
Ngoja ninyamaze...maana mdomo wangu naujua.Sasa Madam B umeleta uzi hadharani na hakuna masharti ya jukwaa kikanuni kua haitakiwi akina Wyatt kuchangia...
Kungekua na sheria hiyo wala usingeona na comment ila ngoma ipo wazi kwa anyone..
Au walao ungeweka angalizo kwenye kichwa cha habari kabisa kua "Wyatt Dont Click This Thread",usingeniona...
Hakuna ugomvi wowote,ni wewe tu ulichukulia quote vibaya,sikua na ill intentions,niliweka tu itufanye tufikiri using other dimensions..
Hivi wewe ndie yule Madame alikua anaombaga mchango wa nauli kutoka sijui Mbeya to Arusha?
Was that'chu?