Friji la kisasa linauzwa

Friji la kisasa linauzwa

Mkuu uko sahihi sana kuandikishana,na biashara yyt nzur inataka hivyo,...ila naonana kwa tulivyo sie wabongo wengi ikifa mkononi mwangu kwa uzembe wangu bado baadhi yetu tutakulaumu na kutaka urudishe mkwanja km maandishi ya mauziano yatakavyosema,hapo nashauri tyu kuwa usijekuingia cha kike kwa hii shida ndogo ulonayo ss then ukatoa kifaa chako piru kabisa halaf baadae mteja akaja kukulazimisha urejeshe fedha kwa uharibifu aloupata,..wapo wateja wazuri tyu utawapata hasa ukizingatia mzigo huo unaonekana bado upo vzr kuliko kutoa guarantee ya kupitiliza man,Mwenye kujua thamani ya hio zaga akaikagua na kuipenda ataibeba kiroho safi bila maswali mingi,kila LA heri boss naimani hadi ss wapo wenye mkwanja wao washaitamani na watakuja kiroho fanta
Tunaweza kuandikishiana popote atapotaka

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa sana kiongoz
Mkuu uko sahihi sana kuandikishana,na biashara yyt nzur inataka hivyo,...ila naonana kwa tulivyo sie wabongo wengi ikifa mkononi mwangu kwa uzembe wangu bado baadhi yetu tutakulaumu na kutaka urudishe mkwanja km maandishi ya mauziano yatakavyosema,hapo nashauri tyu kuwa usijekuingia cha kike kwa hii shida ndogo ulonayo ss then ukatoa kifaa chako piru kabisa halaf baadae mteja akaja kukulazimisha urejeshe fedha kwa uharibifu aloupata,..wapo wateja wazuri tyu utawapata hasa ukizingatia mzigo huo unaonekana bado upo vzr kuliko kutoa guarantee ya kupitiliza man,Mwenye kujua thamani ya hio zaga akaikagua na kuipenda ataibeba kiroho safi bila maswali mingi,kila LA heri boss naimani hadi ss wapo wenye mkwanja wao washaitamani na watakuja kiroho fanta

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mali bado mpya
IMG_20200111_075149.jpeg
IMG_20200111_075214.jpeg
IMG_20200111_075323.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu uko sahihi sana kuandikishana,na biashara yyt nzur inataka hivyo,...ila naonana kwa tulivyo sie wabongo wengi ikifa mkononi mwangu kwa uzembe wangu bado baadhi yetu tutakulaumu na kutaka urudishe mkwanja km maandishi ya mauziano yatakavyosema,hapo nashauri tyu kuwa usijekuingia cha kike kwa hii shida ndogo ulonayo ss then ukatoa kifaa chako piru kabisa halaf baadae mteja akaja kukulazimisha urejeshe fedha kwa uharibifu aloupata,..wapo wateja wazuri tyu utawapata hasa ukizingatia mzigo huo unaonekana bado upo vzr kuliko kutoa guarantee ya kupitiliza man,Mwenye kujua thamani ya hio zaga akaikagua na kuipenda ataibeba kiroho safi bila maswali mingi,kila LA heri boss naimani hadi ss wapo wenye mkwanja wao washaitamani na watakuja kiroho fanta

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo suluhisho ni dogo, wakati wa kuandikishana anaitwa fundi ambaye analikagua na kuandika taarifa muhimu kuhusu ukaguzi wake na ukaguzi inafanyika pande zote mbili zikiwepo. Endapo litatokea tatizo fundi ataitwa, ukubwa wa tatizo utaangaliwa na kama ni tatizo ambalo pengine limesababishwa na mnunuaji ambalo awali yalikuwepo basi muuzaji ndie atakae wajibika.
 
Sawa pia, Mkuuu Fridge langu ni jipya, Naliuza sababu tu nahitaji pesa kwa kipindi hiki
Hapo suluhisho ni dogo, wakati wa kuandikishana anaitwa fundi ambaye analikagua na kuandika taarifa muhimu kuhusu ukaguzi wake na ukaguzi inafanyika pande zote mbili zikiwepo. Endapo litatokea tatizo fundi ataitwa, ukubwa wa tatizo utaangaliwa na kama ni tatizo ambalo pengine limesababishwa na mnunuaji ambalo awali yalikuwepo basi muuzaji ndie atakae wajibika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah ziri sana asee ila kwa wenye mpunga wanunue tu linafaa sana hili Mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom