Freemasons ndani ya Makanisa

Huyo anamquote ni mmarekani ambaye naye pia ni zao la warumi
 
Wasabato wanatumia calender ya freemason freemason (roman calenders) kwanin wasabato mnatumia kalender ya warumi na sio calenders ya kisabato
unataka elimu kuhusu calendar? wayahudi hadi kesho wanatumia jews calenda na ndio waliopewa mausiq nq MUNGU, lkn sqbto ni jummosi

una ushahidi upi tunatumia calenda ya rumi?

sisi hata siku haianzi saa 6,kama rumi ilivyobadili majira na sheria za MUNGU

"NAYE ATAAZIMU KUBADILI MAJIRA NA SHERIA..." DANIEL 7:25,

ONA SASA HAPA JINSI MAJINA YA SIKU ZA WIKI YALIVYOBADILISHWA NA KUPEWA MAJINA YA MIUNGU YA RUMI NA MIUNGU MINGINE YA MAKABILA MBALIMBALI. AJABU NI KUWA KATIKA LUGHA NYINGI SIKU YA JUMAMOSI (SATURDAY) BADO INATAMBULIKA KAMA SIKU YA SABA (KIYAHUDI - SABATO (YAANI SIKU YA 7)| KI-ITALIANO SABATO (YAANI SIKU YA 7)| KISPANISHI - SABADO (YAANI SIKU YA 7)| KIFARANSA - SAMEDI (YAANI SIKU YA 7) | N.K
 
Wa protestant ni zao la hao hao warumi......leta source ambazo hazihusishi kanisa la warumi maana uislam unaouongelea wewe ni matukio kabla ya 1054 halafu unaquote vitu vya baada ya 1054......kwa ufupi tu hata hio biblia kanisa la mwanzo haliamini biblia ambayo ilitafsiriwa na warumi ndo maana wa orthodox wamebaki na biblia ya asili katika lugha yake ya kiebrania na kigiriki tu kwa agano jipya.......kuanza kutafsiri tena kupitia kwa kanisa la roman katoliki ndo mwanzo pia wakuchanganya imani za watu na utawala wao
 
Huyo anamquote ni mmarekani ambaye naye pia ni zao la warumi
nime mquote nani, badala ujifunze neno la MUNGU mmekalia kulalamika , mnafundishwa na kumezeshwa mapokeo, na kuabudu sanamu

Marko 7:8-14Biblia Habari Njema (BHN)​

8. Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
9. Yesu akaendelea kusema, “Nyinyi mnajua kuepa kwa ujanja sheria ya Mungu kwa ajili ya kufuata mapokeo yenu!
 
roman empire ilipoanguka tu ,kilichoibuka ni roman catholic ,hii inathibitishwa hata na biblia

Nabii Danieli anaiona PEMBE NDOGO inazuka ghafla ambayo iko kwa namna hii,
"..... na tazama, katika pembe hiyo MLIKUWA NA MACHO KAMA MACHO YA MWANADAMU, na KINYWA KILICHOKUWA KIKINENA MANENO MAKUU"- (Dan.7:8)
 
Huyo anamquote ni mmarekani ambaye naye pia ni zao la warumi

Marko 7:8-14Biblia Habari Njema (BHN)​

8. Nyinyi mnaiacha amri ya Mungu na kushikilia maagizo ya watu.”
9. Yesu akaendelea kusema, “Nyinyi mnajua kuepa kwa ujanja sheria ya Mungu kwa ajili ya kufuata mapokeo yenu!

 
Wasabato wanatumia calender ya freemason freemason (roman calenders) kwanin wasabato mnatumia kalender ya warumi na sio calenders ya kisabato
TUNGEKUA TUNATUMIA HIYO CALENDAR.,, SIKU KWETU INGEANZA SAA 6,. SABATO KWETU INGEKUW JUMAPILI

MAUSIA YA MUNGU, NA MAAGIZO YA MUNGU. ,WOKOVU VIPO KWA WAYAHUDI SIO WARUMI WAPAGANI

RUM 3​

1Basi Myahudi ana ziada gani? Na kutahiriwa kwafaa nini?

2Kwafaa sana kwa kila njia. Kwanza kwa kuwa wamekabidhiwa mausia ya Mungu.

3Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?

4Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa,
Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako,
Ukashinde uingiapo katika hukumu.
 
Kasome tena vzr, utajua orthodox na roman catholic ni ndugu mmoja,
 
Kwa hiyo huu ni mwaka upi kwa kalender ya kisabato
 
Kasome tena vzr, utajua orthodox na roman catholic ni ndugu mmoja,
Ndugu mmoja ila orthodox walishajitenga na uongo wa ukatoliki.... na hawakubaliani na mafundisho yao.....muorthodox anaichukulia roman katoliki kama watu waongo, wanafiki na wenye tamaa za kidunia kuliko kusimamia imani halisi waliyoachiwa na mitume
 
TUNAZUNGUMZIA KARAMA YA KUNENA KWA LUGHA, USIBADILI MADA JOMBA

HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU .

Mbona unapanic mkuu. Nimekuuliza unasemea unenaji upi kwa Roho Mtakatifu, kwa makabila haya haya ya kwetu au kunena kwa namna gani.

Vilevile usigeuze maandiko hiyo sura haizungumzii karama hapo, wala haijaandikwa wakaekewa mikono ili wapate karama ya Roho Mtakatifu.
 

Unaelewa nini maandiko yanapozungumzia
"Kila mmoja akanena kwa lugha mpya kwa kadri roho alivyomjalia kunena".

Unataka kusema Roho Mtakatifu akikujia unapaswa unene kichaga, au kimasai au kisukuma. Hebu taja lugha halisi ambayo ndo inafaa kunena kwa Roho Mtakatifu ambayo kwako unapendekeza ndo sahihi. Au wewe unanena kikabila gani? Na ulishawahi kutafsiriwa?
 

Hoja yako hapa ni ipi? Mbona havina uhusiano na nilichokuuliza.
 
HUWEZ KUNIHAMISHA MADA NILIJUA TU UTANASA

HUKO KUNENA MNAKOFANYA LEO MMEKUTOA WAPI? MBON AHATUONI KWENYE MAANDIKO

AU NAPO HAPAWAHUSU
 

Ngoja nikurudishe kwenye lengo maana naona umeanza kupiga chenga. Maana mpaka sasa sijataja dhehebu langu wala hujui nanenaje kwa lugha, ila kwa kuwa unataka tuongelee jinsi ya kunena tumalizane kwanza na hili lengo lililonileta halafu tuanze kujadili namna ipi ya kunena nisahii.

Nikukumbushe lengo. Umekuja na andiko Paulo akiwaambia Wakorintho wakinena kwa lugha wanene watu watatu tu na pawepo na mtafsiri.

Mimi nikaja nikapinga nikakueleza kunena kwa lugha hakuna limitation ya idadi ya watu na nikaeleza historia kwanini Paulo aliamua kuwawekea wakorintho huo utaratibu. Ukasema wakorintho ni mataifa.

Nikaja na maandiko kutoka katika kitabu cha Matendo ya Mitume nikaonyesha jinsi wakina Petro walivyowawekea mikono watu wa Samaria na wote wakampokea Roho Mtakatifu na sio watatu kati yao. Nikakwambia wasamaria nao ni mataifa.

Baada ya wewe kuona nakubana kwa kuwa umeshaaminishwa Roho Mtakatifu anashukaga kwa watu watatu tu, ni kama mnafikiri Roho Mtakatifu atachanganyikiwa au Mungu atachanganyikiwa akisikiliza maombi zaidi ya watu watatu au unaona Roho Mtakatifu mwisho wake ni watu watatu tu unampa limitation. Ukaanza chenga sasa, et Oh huko kunena kwenu ni sahihi, mara unakwepa swali n.k n.k

Sasa sitaki unipige chenga turudi hapa kwanza mpaka kieleweke, kwanini unang'ang'ania watu watatu tu ndo wanene na kuwe na mtafsiri. Tupo hapa bado tetea hoja yako.

Na nikakueleza chimbuko la Roho Mtakatifu ni Yesu Kristo mwenyewe ndiye aliyemtambulisha atakuja baada yake na aliwaagiza wale wanafunzi, jumla walikuwa 120 akawaambia wasitoke Yerusalemu hata watakapompokea na maandiko yanasema wote wakajazwa Roho Mtakatifu wakaanza kunena kwa lugha mpya kadri Roho alivyowajalia kunena.

Tumalize hapo halafu tukishawekana sawa tutakuja kujadiliana jinsi ya kunena.


Wakati kabla hatujajadiliana jinsi ya kunena, hebu endelea kuyatafakari kwa kina haya maandiko hapa chini ninayokupa sasa hivi, tutayatumia tena huko mbeleni.

MATENDO 2

1 Hata ilipotimia siku ya Pentekoste walikuwako wote mahali pamoja.

2 Kukaja ghafula toka mbinguni uvumi kama uvumi wa upepo wa nguvu ukienda kasi, ukaijaza nyumba yote waliyokuwa wameketi.

3 Kukawatokea ndimi zilizogawanyikana, kama ndimi za moto uliowakalia kila mmoja wao.

4 Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha nyingine, kama Roho alivyowajalia kutamka.
 
WEWE UNATAKA KUSEMA HIYO LUGHA NI HIZI MNAZOPAYUKA?
 
ALIYEKWAMBIA UKISHUKIWA ROHO NDIO UNANENA KWA LUGHA NANI?


KWAHIYO WANAOSHUKIWA NA ROHO MTAKATIFU NDIO WANANENA KWA LUGHA?

MIMI NAZUNGUMZIA KUNENA KWA LUGHA , WEWE UNACHANGANYA MAFAILI ETI KUSHUKIWA ROHO, NI VITU VIWILI TOFAUTI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…