Freemasonry Wametushika kila kona


unajielewa??


freemasons na wasabato ni two different things

mada za usabato zimetokea wapi?

nani kakuambia mi msabato?

mada inasemaje?

uasama wako na dini zingine usinilete mimi


kama huwajui ka kimya
 


Huyu mama alijifanya nabii wa wasabato akatabiri mwisho wa dunia ambao nao haukutimiza unabii wake. lakini bado anaaminika ni nabii wa wasabato!! nabii anayetabiri yasiotimia bado ni nabii!!
 
Sasa kuwa na msimamo mkali wa dini inakuwaje ni tatizo kwenye kusoma huu uzi? Pili suala la kuandika saba na kusoma moja ni wewe tu unavyoseti saa yako. Mbona mimi yangu inaonesha 1 ikiwa saa moja, 2 kwa saa 2 na kuendelea. Halafu hizo namba unaweza kuzipa tafsiri yeyote unayopenda.
 

kanisa katoliki ulilikuta na waliomo watakuwa watakatifu na waliokuwepo watakatifu na utaliacha!! Hizo quotes zako hazibadili chochote!
 
unajielewa??


freemasons na wasabato ni two different things

mada za usabato zimetokea wapi?

nani kakuambia mi msabato?

mada inasemaje?

uasama wako na dini zingine usinilete mimi?

kama huwajui ka kimya

Wewe naona hujielewi kabisa....Naona ume-panic mapemaaa...

Nimekuambia mada za Freemason hupendwa na Wasabato sana....Sihitaji uniambie wewe ni Msabato ila nikisoma unachoandika ni dhahiri shahiri kabisa wewe ni Masalia...

Angalia unavyojikamata....." Wasabato na Freemason hawahusiani".....Kama wewe si msabato umejuaje hamhusiani....Kwanini umekimbilia kukanusha mapemaa.....Kuwa makini..

Mada imeletwa ili mambumbumbu kama nyie mjadiliane....Ila kwa mtu mwenye uelewa hawezi jadili upuuzi...
 
Huyu mama alijifanya nabii wa wasabato akatabiri mwisho wa dunia ambao nao haukutimiza unabii wake. lakini bado anaaminika ni nabii wa wasabato!! nabii anayetabiri yasiotimia bado ni nabii!!

Akili zao zote zipo kama za mama Hellena White..
 
Najua mkuu ndo namna ambavyo shetani huwapambia watu vitendo vyao viovu wavione kua ni vyema....Mtu kuzuiliwa kuoa/kuolewa ili afikie utakatifu ni jambo lenye mashaka mkuu
 
kwa nini iwe sita,na kwa nini sita hizo ziwe tatu? je? zikiwa nne?
 
Najua mkuu ndo namna ambavyo shetani huwapambia watu vitendo vyao viovu wavione kua ni vyema....Mtu kuzuiliwa kuoa/kuolewa ili afikie utakatifu ni jambo lenye mashaka mkuu

Jifunze ku-quote mtu unayetaka kumjibu...Au na wewe ni wale mazezeta wa Mama Hellena White...??
 

kwahiyo unatafuta nini kwenye huu uzi??

jibu maswali yangu kwanza hapo juu

usabato umeanza lini??freemasons je??unajuatofauti zao??
 
Ukisema Tuanze Kupinga Kutumia Vitu Vyao Na Kwa System Zao.. It Means Hata Jf Hutakiwi Kugusa, Au Hiyo Device Yenyewe Unayotumia Hutakiwi Kuendelea Kuitumia... Think Big Like (Rakims)
 
Wewe unayejua tujuze...!!!

Vipi wewe ni Masalia...??Any way you are pure SDA....

Ngoja niandae uzi wa historia yenu....Naomba uje tujuzane mawili matatu...

fools talk on personalities not ideas


simpleminds discuss people
 
kwahiyo unatafuta nini kwenye huu uzi??

jibu maswali yangu kwanza hapo juu

usabato umeanza lini??freemasons je??unajuatofauti zao??

Ndio maana nimekumbia ume-panic...

Kasome Millerites movement ndo utajua uozo wa historia yenu....Nimekupa kama hints naona uzuzu umekuelemea...

Unelewa ninapouliza swali " Kwanini Wasabato wanapenda habari za Freemason"?

Mbona mm nipo clear sana....Nimekuambia thread hii imeletwa na mbumbumbu ili mambumbumbu kama nyie mpate kui-support...
 
fools talk on personalities not ideas


simpleminds discuss people

Ukiona mtu anatukana basi ujue hoja zimemshinda....Mara nyingi watu kama nyie huwa mnapigana au kete ya mwisho kabisa ili usionekane umeshindwa ni matusi.....Anyway nikawaida...Nafurahi...

Halafu mimi sijamjadili mtu...Hebu onesha mahali nimemjadili mtu...

Ku-panic kubaya sana....
 
kuishi kwa imani tu inatosha haya mengine hayana faida kwetu
 
Ukisema Tuanze Kupinga Kutumia Vitu Vyao Na Kwa System Zao.. It Means Hata Jf Hutakiwi Kugusa, Au Hiyo Device Yenyewe Unayotumia Hutakiwi Kuendelea Kuitumia... Think Big Like (Rakims)

tumia na kuwa against them japo ipo siku utashindwa kuwaepuka labda kifo au mateso yasiyopimika
 

mimi masalia,mi msabato,mi pure SDA,mama hellen g white,umepanic,wasabato wengi,mmelishwa


hoja yako ni ipi?

unawajua freemasons?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…