zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,880
- 36,756
Huo waraka mbona chacha wangwe alishaukana mkuu toka akiwa hai natatafuta barua yake niiweke hapa ila mnanishangaza sana afu unajiita mwanachadema hivi ina maana kina bob na zakayo na dotto wangwe hawajui haya hadi waliendelea kuwa wanachadema ila wewe ndio unajua sana kuliko waleMkuu unahamisha magoli
waraka wa chacha wangwe huu hapa
Google Groupes
ukimaliza kuusoma, urudi hapa ufute kauli zako
tumekulia chadema, tukaona kinakufa live....wewe unakikuta makaburini unatambika, wenzako hatuko makaburini...kwa nini kutafuta uzima sehemu ya wafu?
chacha wangwe aliyasema akiwa on fire, on peak, na makamu mwenyekiti!! unasema nini wewe??
Kwa kukusahisha tu mie nipo chadema toka nikiwa darasa la nne ingawa sikuwa na kadi ila nlikuwa mkereketwa asiyepitwa na lolote kuhusu chadema