Freeman Mbowe Shujaa wa Demokrasia

Freeman Mbowe Shujaa wa Demokrasia

demokrasia ya malkia elizabeth,robert mugabe piere nkurunziza na kaguta museven?
 
Mleta hoja umenena sawia. Ni kweli kati ya viongozi thabiti na wanaoamini katika demokrasia ya kweli huyu Mbowe yupo juu sana na anastahili kuitwa shujaa wa demokrasia kwa dunia na afrika.
Kakisimamia chama chake ndani na nje ya bunge kwa umakini mkubwa.
Kitendo cha mawaziri wakuu wawili na mawaziri wawili kukubali kuongozwa naye sio cha kubeza bali kumpongeza kwa uongozi wake mahiri. Anastahili sifa na kutiwa moyo licha ya wafika bei kuishia kumshindwa na kubakia kumbambikiza tuhuma za kutengeneza ambazo amezishinda. Tumpongeze na mkewe kwa kusimama imara pamoja na mmewe licha ya tuhuma chafu zilizoelekezwa kwake kuwa na michepuko. Adumu Mbowe na cdm yake.
 
Kweli kabisa, ila inabidi abadilishe katiba ili kuwe na ukomo wa uenyekiti kwenye chama ili tuamini kabisa kuwa ni muumini na shujaa wa demokrasia
 
Nadhani Tanzania tuna aina mpya ya demokrasia inayokidhi matakwa yetu.....
 
kwa hali ya Tanzania Mbowe ni shujaa, Tangu mfumo wa vyama vingi vya siasa mwaka 1992 chadema kimepata mafanikio makubwa .BILA SHAKA chama Tawala wanatetemeka .HONGERA mwenyekiti wa chadema
 
Rais ni Magufuli lakini Kiongozi ni Mbowe, hii ina maana kwamba Magufuli ni mtawala lakini kiongozi wa nchi ni Freeman Mbowe.

Tumewaoigisha kwata ccm na serikali yao mwaka wa pili sasa kila wanachofanya ni kufukuzana na chadema, hawakai hawalali.

Mbowe ni Jembe na atakuwa Jembe forever ni mtu Dynamic in postives.

Namwona kama.mtu Mpole, Mnyenyekevu, mwenye kupenda watu. Angekuwa kiongozu wa maswala ya dini tungemwita Mtume au Nabii.
Natumaini wote mtamaliza mwaka salama pamoja na wengine wetu kuanza kuharibiwa kipindi hiki na watu wasiojulikana.

Tanzania ina mashujaa wengi sana ambao ama wamepoteza maisha au kuumia katika harakati za kuleta mabadiliko katika taifa.
Kuna shujaa mmoja ambaye nafikiri ni busara kabla ya mwaka kuisha tutambue nafasi yake adhimu katika ujenzi wa demokrasia hapa Tanzania

Hapa namzungumzia Mh.Freeman Aikael Mbowe.Mwanamapinduzi halisi muwazi asiyekuwa na chuki wala unafiki.Kijana mwenye mawazo endelevu na anayeonyesha kuwa na fikra mbadala ya kupeleka taifa letu mbele.Ni mtu ambaye pamoja na vitisho vingi,manyanyaso mengi,na fedheha nyingi bado amekuwa ni mtu mwenye msimamo na mtazamo wa kipekee.

Freeman Mbowe ndio mwanasiasa pekee ambaye pamoja na ukweli kwamba alitofautiana kimtazamo na mzee Edward Lowasa lakini imani aliyokuwa nao juu ya uwezo hekima ya Mzee Lowasa ulimfanya akubali kusimama mbele ya Watanzania na kusema pamoja na yote huyu ndie anayefaa kuiongoza Tanzania.

Kwa msimamo ule alituonyesha kuwa yeye sio mtu wa visasi na chuki na kwamba anaamini atika uwezo wa mtu na kwamba anaweza kumpa yeyote fursa.

Freeman Mbowe amewapa fursa vijana wengi ndani ya Chadema.Ni katika uongozi wake uliotukuka tumeona vijana machachari na wenye uwezo wa kujenga hoja wakiibuka katika medani za siasa tena bila kujikomba bali ni kwa kuonyesha uwezo wao thabiti.

Freeman Mbowe amekifadhili chama chake kwa kujitoa kwa pekee na kuhatarisha usalama wake na wa familia yake na mali zake lakini bado hakukata tamaa kutokana na imani yake kwamba tanzania bora itajengwa na wenye moyo

Freeman Mbowe anawasilisha mawazo na fikra za wana mageuzi,vijana wa kisasa wenye imani kuwa Tunaweza kuwa taifa la kipekee katika bara la Afrika

Kwa kusema haya napenda nimtakie mwaka mpya mwema ndugu Mbowe na kumwambia kuwa asife moyo wakati wa ushindi u karibu na Mungu yuko upande wake

Aluta Continua

Wasalaam

PBK
 
Propaganda za kitoto sana cha kushangaza hata wanaohama chama sijawahi sikia wakitoa hizi lawama ila wanaccm damu damu ndio eti wanajua sana kuhusu mbowe

Mnashangaza
Ni njia za kupunguza makali ya mpinzani wako. Propaganda mhimu! Propoaganda ikiingia sawasawa, itaonekana ni kweli.
 
Ila katika swala la lowasa nadhani anajua kabisa aliingia cha kike.
Kumsafisha mtu ndani ya wiki 6 ili nchi imuelewe katika nafasi ya urais nikazisana.

Otherwise chadema ingekuwa mblisana leo,hatakama asinge patikana rais lakini idadi ya wabunge ingeongezeka sana na chama kingekuwa na nguvu kubwa tu.
 
Tukiachana na madhaifu ambayo kila mwanadamu anayo ila Freeman Mbowe ni mmoja ya viongozi muhim sana wa upinzani katika historia ya vyama vingi vyama vingine huwa vikipata migogoro ya uongozi au hujuma za chama tawala vinakufa ila CHADEMA imevuka milima na mabonde mengi ikiwemo migogoro ya uongozi na propaganda za kila aina ila imefika kuwa chama kikuu cha upinzani na tishio kwa ccm kwa hayo tu Long live Freeman Mbowe
hakika umemaliza mkuu ! kwanza ni kijana wa kuigwa !
 
Propaganda za kitoto sana cha kushangaza hata wanaohama chama sijawahi sikia wakitoa hizi lawama ila wanaccm damu damu ndio eti wanajua sana kuhusu mbowe

Mnashangaza
nilikuambia msome chacha wangwe wewe acha ujinga!!
 
Ila katika swala la lowasa nadhani anajua kabisa aliingia cha kike.
Kumsafisha mtu ndani ya wiki 6 ili nchi imuelewe katika nafasi ya urais nikazisana.

Otherwise chadema ingekuwa mblisana leo,hatakama asinge patikana rais lakini idadi ya wabunge ingeongezeka sana na chama kingekuwa na nguvu kubwa tu.

uko sahihi, na wangeipa sana sana shida CCM 2020, na likely wangekomaa walivyo CCM ingeondoka rasmi 2020 au 2025....sasa tuna miaka 20 tena ya kujipanga kuiondoa CCM madarakani
 
nilikuambia msome chacha wangwe wewe acha ujinga!!
Acheni utoto huyo chacha wangwe akiwa bungeni aliahidi bunge linalofuata angeleta data kuhusu balali tuliokuwa tumeaminishwa kuwa amefariki dunia....... kilichotokea wote tunajua cha kushangaza maCCM mnakazania kuwa mbowe alimfanyizia ndio maana nikasema imashangaza wanaccm kujifanya wanaijua chadema kuliko wanachadema wenyewe..... Yaani wote waliokimbia chadema hawakuwahi sema huu upuuzi sio Dr slaa sio zitto sio arfi wala mwigamba eti ila waberoya ndio anajua sana kuwa mbowe alimmaliza wangwe so suprising!!!

Hivi kma angemuua chacha au kumfanyia visa je kivp mke wa wange mrs dotto pamoja na mwanaye zakayo wangekuwa bado chadema??? Inaingia akilini kweli???

Waberoya umeanza kufilisika hoja sio yule wa 2011
 
Acheni utoto huyo chacha wangwe akiwa bungeni aliahidi bunge linalofuata angeleta data kuhusu balali tuliokuwa tumeaminishwa kuwa amefariki dunia....... kilichotokea wote tunajua cha kushangaza maCCM mnakazania kuwa mbowe alimfanyizia ndio maana nikasema imashangaza wanaccm kujifanya wanaijua chadema kuliko wanachadema wenyewe..... Yaani wote waliokimbia chadema hawakuwahi sema huu upuuzi sio Dr slaa sio zitto sio arfi wala mwigamba eti ila waberoya ndio anajua sana kuwa mbowe alimmaliza wangwe so suprising!!!

Hivi kma angemuua chacha au kumfanyia visa je kivp mke wa wange mrs dotto pamoja na mwanaye zakayo wangekuwa bado chadema??? Inaingia akilini kweli???

Waberoya umeanza kufilisika hoja sio yule wa 2011

Acheni utoto huyo chacha wangwe akiwa bungeni aliahidi bunge linalofuata angeleta data kuhusu balali tuliokuwa tumeaminishwa kuwa amefariki dunia....... kilichotokea wote tunajua cha kushangaza maCCM mnakazania kuwa mbowe alimfanyizia ndio maana nikasema imashangaza wanaccm kujifanya wanaijua chadema kuliko wanachadema wenyewe..... Yaani wote waliokimbia chadema hawakuwahi sema huu upuuzi sio Dr slaa sio zitto sio arfi wala mwigamba eti ila waberoya ndio anajua sana kuwa mbowe alimmaliza wangwe so suprising!!!

Hivi kma angemuua chacha au kumfanyia visa je kivp mke wa wange mrs dotto pamoja na mwanaye zakayo wangekuwa bado chadema??? Inaingia akilini kweli???

Waberoya umeanza kufilisika hoja sio yule wa 2011

Mkuu unahamisha magoli

waraka wa chacha wangwe huu hapa

Google Groupes

ukimaliza kuusoma, urudi hapa ufute kauli zako

tumekulia chadema, tukaona kinakufa live....wewe unakikuta makaburini unatambika, wenzako hatuko makaburini...kwa nini kutafuta uzima sehemu ya wafu?

chacha wangwe aliyasema akiwa on fire, on peak, na makamu mwenyekiti!! unasema nini wewe??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom