Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,006
Siku zote huwa nasema,chadema inaangamia kwa kukosa maarifa,JK hatagombea uraisi tena....msipigane na kivuli.Kama alivyo poteza muelekeo mkwere baada ya magu kuingia magagoni na sasa siri zote zinaanikwa hadharani mchana kweupeeeeee
Upinzani unahitaji fikra mpya. Slaa aanzishe chama.
Wasalaamu humu jukwaani
Mimi sipendi sana kutundika uzi humu
Ila kwa hili Sina budi kujitokeza hadharani kutoka huku milimani na kupitia jukwaa hili kufikisha ujumbe wangu kwa Comrade Dr. Freeman mbowe.
Kutokana na tetes mbalimbali zinazopita masikion mwangu ni kuwa Dr. Freeman mbowe amepanga kustaafu kutoka kwenye siasa za majukwaani na kupisha watu wengine, hizi tetes kiukweli zinatukosesha Amani sisi watanzania tunaopenda maendeleo ya nchi yetu.
Nia yetu ni kukuomba Dr Freeman mbowe ugombee uenyekiti wa Chama tena Kwan bado una millage ya kuona mbali... Chini ya mikono yako Chadema imekuwa kwa 85% bado tunahitaji hizo 15%
kutoka kwako ndio tutakuruhusu upumzike tukiwa Tayari tumeshatimiza malengo yetu
Kukuomba ugombee haimanishi kuwa hakuna mwenye sifa ya kugombea la hasha wapo wengi kina kamanda Lissu, Kamanda mnyika, kamanda sugu, kamanda halima mdee, kamanda mwalimu na wengine wengi ila kwa Kuwa wewe bado uko Safi tunakuomba uendelee kupambana ili tufike kule tunakokusudia, tumetoka mbali naamin tutafika salama japo tumeumia sana kuna ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki kwa kuipigania taasisi hii muhimu kwetu wa Tanzania, tena wengine wamedhulumiwa uhai wao na watawala wasiopenda ukwel Lakin damu Yao ndio ujasiri wetu.. Nakumbuka hata wewe walikukosa risasi pale nmc ila hukurud nyuma
Kazi yako tunaitambua Mr. Chairman wengine hawawez kuelezea uhodari wako wanasubiri hadi ufe ndio waje wakupigie saluti
Mungu akulinde Dr mbowe jujawahi kuwa mnafik wala mwongo wa nafs yako juu ya dhamira ya kuikomboa Tanzania kutoka kwenye makucha ya mafisad papa yasiojali wananchi
Ni mimi mtanzania mzalendo
Hizi sio kauli za kujenga.. Lete mawazo tumshauri Mr chairman aendelee kuongoza jahazVictor
Kama unamenda sana MBOWE nenda kwake kamfulie / kampikie ,toteleea shudu zako hapa kwenye uzi
Kama kikwete aliweza kuwa Rais wa TanzaniaKwanza kabisa wee ni mbowe unajipigia promo, KUSTAAFU KUKO PALE PALE, wanachama wanajua hilo.
Pili, yaani mleta mada ktk watu wenye sifa ya kuwa mwenyekiti wa chadema na sugu pia ana sifa?? Kweli nyie bado!
Tatu, unathubutu kabisa kusema mbowe sio mnafiki na sio muongo, unajua maana ya kuaminisha umma kuwa fulani ni fisadi kisha kubadilisha mawazo baadae? Huo ni UNAFIKI na UONGO uliopitiliza.
Acha kumpigia/ kujipigia promo. Mbowe kaexpire ya amebaki na siasa za matukio na chafu. Hafai hata kuwa kichwa cha familia.
Mkuu huu mchezo hauitaji hasiraKwani Mtei alipoanzisha hicho kitega RUZUKU alianzishia Canadai? Mbowe ni mkwe wa Mtei na hiyo ni taasisi yake. Mbowe ametengua katiba ya ili aendelee kuongoza. Zitto alipotaka uenyekiti akafukuzwa. Zitto kwa weledi wake wa uchumi alitaka hesabu za ruzuku zikaguliwe,Chama kikataka akitonye. Mbowe hawezi staafu maana alishatengua katiba ya chama ili aendelee kuwa Mwenyekiti milele. Aeleze Lowasa alileta shilingi ngapi na ripoti za ukaguzi wa kujitegemea zitoke. Ruzuku ni mali ya watanzania.
Dr. mbowe ni msomi kutoka chuo bora kabisa nchini uingereza kabobea katika maswala ya siasa na international diplomacyHUO UDAKTAR FREMAN MBOWE KAPEWA NA NAN?? NA NI COMRADE WA KITU GAN MKUU..
Pandikizi mtu aliyewapa umaarufu. ZZK. Hamna stori ya kutunga hapo juu kijana,wewe shupaa watu wanakula maisha kwa ruzuku.Mkuu huu mchezo hauitaji hasira
Acha kutoa mishipa
Mwerevu hawezi kutunga story hizi na wenye akili wakakuamini
Ayatollah ni pandikizi toka familia ya kikwete kupitia vijana wake kina February na mwigulu
RuwenzoriUnaongea kutoka milima hipi mkuu?
Wasalaamu humu jukwaani
Mimi sipendi sana kutundika uzi humu
Ila kwa hili Sina budi kujitokeza hadharani kutoka huku milimani na kupitia jukwaa hili kufikisha ujumbe wangu kwa Comrade Dr. Freeman mbowe.
Kutokana na tetes mbalimbali zinazopita masikion mwangu ni kuwa Dr. Freeman mbowe amepanga kustaafu kutoka kwenye siasa za majukwaani na kupisha watu wengine, hizi tetes kiukweli zinatukosesha Amani sisi watanzania tunaopenda maendeleo ya nchi yetu.
Nia yetu ni kukuomba Dr Freeman mbowe ugombee uenyekiti wa Chama tena Kwan bado una millage ya kuona mbali... Chini ya mikono yako Chadema imekuwa kwa 85% bado tunahitaji hizo... 15%
kutoka kwako ndio tutakuruhusu upumzike tukiwa Tayari tumeshatimiza malengo yetu
Kukuomba ugombee haimanishi kuwa hakuna mwenye sifa ya kugombea la hasha wapo wengi kina kamanda Lissu, Kamanda mnyika, kamanda sugu, kamanda halima mdee, kamanda mwalimu na wengine wengi ila kwa Kuwa wewe bado uko Safi tunakuomba uendelee kupambana ili tufike kule tunakokusudia, tumetoka mbali naamin tutafika salama japo tumeumia sana kuna ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki kwa kuipigania taasisi hii muhimu kwetu wa Tanzania, tena wengine wamedhulumiwa uhai wao na watawala wasiopenda ukwel Lakin damu Yao ndio ujasiri wetu.. Nakumbuka hata wewe walikukosa risasi pale nmc ila hukurud nyuma
Kazi yako tunaitambua Mr. Chairman wengine hawawez kuelezea uhodari wako wanasubiri hadi ufe ndio waje wakupigie saluti
Mungu akulinde Dr mbowe jujawahi kuwa mnafik wala mwongo wa nafs yako juu ya dhamira ya kuikomboa Tanzania kutoka kwenye makucha ya mafisad papa yasiojali wananchi
Ni mimi mtanzania mzalendo
Umeona Hilo tuHii ni tetesi haswaa!
Kwamba chama amekikuza kwa 85%, unapenda amalizie hiyo 25%! Dah ama kweli ni Tezi la tetesi! Shule zingine hizi jamani!!!!
Mkuu kujenga afisi sio kipaumbele cha ChamaKama habari za kustaafu za bwana Mbowe ni za kweli basi zitakuwa habari njema kwa wale wote wanaoitakia mema CHADEMA.CHADEMA pale ilipo inahitaji mabadiliko makubwa sana, mabadiliko kuanzia kwenye image ya nje ya chama.CHADEMA inahitaji Mwenyekiti mpya ambaye akiingia tu jambo la kwanza ni kuhakikisha chama kinajenga makao makuu yake mapya,tena ya kisasa na ya kupigiwa mfano ambayo ita_accommodate offices za jumuiya mbalimbali za chama kama vile BAVICHA,BAWACHA,BARAZA LA WAZEE,nk.Ikiwezekana pia office ya media house ya chama iwemo humo humo kwa mfano TV na radio. Mwenyekiti mpya anapaswa kufanya mabadiliko makubwa ya kimfumo,hasa kuweka sawa baadhi ya vipengele vilivyomo kwenye katiba,vingi vina mapungufu mengi sana vinavyopelekea baadhi ya viongozi ku_abuse katiba kwa maslahi yao.Ifike wakati katiba izipe meno mamlaka za kimaamuzi kama baraza kuu la chama,kamati kuu ya chama na mkutano mkuu wa chama kuwadhibiti viongozi wabadhilifu na wanaotumia madaraka yao vibaya.Lazima CHADEMA ianze kujenga misingi imara itakayosaidia kuwapata viongozi safi na wenye uwezo mkubwa, tena watakaopatikana ktk mazingira ya haki na ya kidemokrasia.CHADEMA haiwezi kwenda mbele kwa kumng'ang'ania mtu mmoja tu,hiyo tu peke yake inaonyesha jinsi chama kilivyo dhaifu mno kama taasisi.Chama kinahitaji mawazo mapya,fikra mpya,mwonekano mpya,muundo na mfumo mpya ili kisonge mbele.
You can't be seriousPandikizi mtu aliyewapa umaarufu. ZZK. Hamna stori ya kutunga hapo juu kijana,wewe shupaa watu wanakula maisha kwa ruzuku.
Ulikimbia hesabu. Hebu rudia upya
Tehe tehe! Mbowe amewauza kwa EL kavuta chake. Si unajua Pombe atachomoka 2025,2025 tunawapiga mpaka 2035. Endeleeni kula ruzuku na SACCOS yenu. EL atasimama tena 2020 anahisi alikosea padogo! Elimu.. Elimu ... ElimuYou can't be serious
Ayatollah aipe umaarufu chadema kwa Dr slaa ningekubali kuwa anamchango wake
Ayatollah anamchango bungeni kabla ya kuhadaiwa na pesa.... Na mchongo ulikuwa ni kujenga jina Lake sio taasisi ya chadema