Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,981
- 4,172
Mzee wa kubadili gia angani hatabiriki, slaa hatomsahau.
Wewe ndiyo umedharaulika na walimwengu mzimaNimeku dharau Sana!
Mtaendelea kumkodolea mijicho yenu,mbowe siyo level yenu nendeni mkawachezee masharubu kina lyatonga na cheyoKwa kweli mh. Sasa ange waachia wengne, kwa spirit ile ile ya demokrasia , kupokezana madaraka, idea mpya nazo zifanye kazi
Mbowe ni zaidi ya viongozi wote wa lumumbayaani mmeishiwa mbinu mpaka mmeamua kuanza kujizushia?
Na bado yupo yupo sana tu ndani ya ulingo wa siasa hadi mkoloni mweusi ang'olewembowe kaongoza miaka mingi sana.
Ni heri ya mbowe aliye uza cdm kuliko nyinyi majizi mliyo iuza tanzania kwa mnao waita wawekezajiwatu gani chadema hamusomi maandishi ukutani. mbowe alishauza chama kwa hivyo lazima awaachie wenyewe.
Mkuu apo nakufananisha na wana ccm ambao hawaoni haja ya kung'atuka miaka 50, kama una mtetea njoo na sabab, otherwose ni ushabiki tu wa kisiasa sasa apo wapinzani wata jitofautishaje na wanao tawala!!?, chama kizima kina kosaj mtu wa kuwa mwenyekiti!!, then Mbowe ana eza act kama mshauri, tayari asha fanya kaz kubwa sana apumzike tuMtaendelea kumkodolea mijicho yenu,mbowe siyo level yenu nendeni mkawachezee masharubu kina lyatonga na cheyo
Hii ni tetesi haswaa!Tetesi in aweza kuwa kweli au laa
Ila kwa Freeman mbowe kustaafu bado mapema
Sina hata ya kuja na sababu kwa watu wapuuzi na walio ishiwa pumzi kama nyinyiMkuu apo nakufananisha na wana ccm ambao hawaoni haja ya kung'atuka miaka 50, kama una mtetea njoo na sabab, otherwose ni ushabiki tu wa kisiasa sasa apo wapinzani wata jitofautishaje na wanao tawala!!?, chama kizima kina kosaj mtu wa kuwa mwenyekiti!!, then Mbowe ana eza act kama mshauri, tayari asha fanya kaz kubwa sana apumzike tu
Wewe ni mkewe hadi umuonee huruma?Mkuu apo nakufananisha na wana ccm ambao hawaoni haja ya kung'atuka miaka 50, kama una mtetea njoo na sabab, otherwose ni ushabiki tu wa kisiasa sasa apo wapinzani wata jitofautishaje na wanao tawala!!?, chama kizima kina kosaj mtu wa kuwa mwenyekiti!!, then Mbowe ana eza act kama mshauri, tayari asha fanya kaz kubwa sana apumzike tu
Hahaha, mambo ya zidumu fikra za chairman kwa kweli kwa upande wa upinzani yanatakiwa yakome, kama kweli ni vyama vya kidemokrasiaSina hata ya kuja na sababu kwa watu wapuuzi na walio ishiwa pumzi kama nyinyi
Endelea kumshikia kisahani kinana na mkwereHahaha, mambo ya zidumu fikra za chairman kwa kweli kwa upande wa upinzani yanatakiwa yakome, kama kweli ni vyama vya kidemokrasia
Karibu sana jfHahaha, mambo ya zidumu fikra za chairman kwa kweli kwa upande wa upinzani yanatakiwa yakome, kama kweli ni vyama vya kidemokrasia
yeye ni mbowe mwenyeweWewe ni nani kwake?wacha kujitafutia umaarufu
Asante mkuu, ila kwa kinana umekosea, mi natoa mawazo tuuKaribu sana jf
Kama alivyo poteza muelekeo mkwere baada ya magu kuingia magagoni na sasa siri zote zinaanikwa hadharani mchana kweupeeeeeeAmepoteza muelekeo baada kubadili gia angani
Kamanda kaingilia kazi ya misukule mmechukia.Wewe ni nani kwake?wacha kujitafutia umaarufu