Sinoni
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 7,043
- 12,527
acha kujipendekezayaani mmeishiwa mbinu mpaka mmeamua kuanza kujizushia?
acha kujipendekezayaani mmeishiwa mbinu mpaka mmeamua kuanza kujizushia?
Na mapambano dhidi ya ufisadi pia yanahitajika, chadema hawawezi!Upinzani unahitaji fikra mpya. Slaa aanzishe chama.
Sidhani kama una mshinda alivyo kudharau wewe, wala haja jisumbua kukujibu.Nimeku dharau Sana!
Hapa nchini au Canada?Upinzani unahitaji fikra mpya. Slaa aanzishe chama.
Kwani Mtei alipoanzisha hicho kitega RUZUKU alianzishia Canadai? Mbowe ni mkwe wa Mtei na hiyo ni taasisi yake. Mbowe ametengua katiba ya ili aendelee kuongoza. Zitto alipotaka uenyekiti akafukuzwa. Zitto kwa weledi wake wa uchumi alitaka hesabu za ruzuku zikaguliwe,Chama kikataka akitonye. Mbowe hawezi staafu maana alishatengua katiba ya chama ili aendelee kuwa Mwenyekiti milele. Aeleze Lowasa alileta shilingi ngapi na ripoti za ukaguzi wa kujitegemea zitoke. Ruzuku ni mali ya watanzania.Hapa nchini au Canada?
Hayo yooote mimi siku ya hitaji nime uliza swali fupi sana kutokana na pendekezo lako kuwa Dr.Slaa aanzishe chama pengine nataka nijiunge,Slaa kesha yeya yuko Canada kahamishia makazi huko nikitaka tu kujua Chama hicho aanzishie wapi? hilo tu.Kwani Mtei alipoanzisha hicho kitega RUZUKU alianzishia Canadai? Mbowe ni mkwe wa Mtei na hiyo ni taasisi yake. Mbowe ametengua katiba ya ili aendelee kuongoza. Zitto alipotaka uenyekiti akafukuzwa. Zitto kwa weledi wake wa uchumi alitaka hesabu za ruzuku zikaguliwe,Chama kikataka akitonye. Mbowe hawezi staafu maana alishatengua katiba ya chama ili aendelee kuwa Mwenyekiti milele. Aeleze Lowasa alileta shilingi ngapi na ripoti za ukaguzi wa kujitegemea zitoke. Ruzuku ni mali ya watanzania.
HUO UDAKTAR FREMAN MBOWE KAPEWA NA NAN?? NA NI COMRADE WA KITU GAN MKUU..Wasalaamu humu jukwaani
Mimi sipendi sana kutundika uzi humu
Ila kwa hili Sina budi kujitokeza hadharani kutoka huku milimani na kupitia jukwaa hili kufikisha ujumbe wangu kwa Comrade Dr. Freeman mbowe.
Kutokana na tetes mbalimbali zinazopita masikion mwangu ni kuwa Dr. Freeman mbowe amepanga kustaafu kutoka kwenye siasa za majukwaani na kupisha watu wengine, hizi tetes kiukweli zinatukosesha Amani sisi watanzania tunaopenda maendeleo ya nchi yetu.
Nia yetu ni kukuomba Dr Freeman mbowe ugombee uenyekiti wa Chama tena Kwan bado una millage ya kuona mbali... Chini ya mikono yako Chadema imekuwa kwa 85% bado tunahitaji hizo 25% kutoka kwako ndio tutakuruhusu upumzike tukiwa Tayari tumeshatimiza malengo yetu
Kukuomba ugombee haimanishi kuwa hakuna mwenye sifa ya kugombea la hasha wapo wengi kina kamanda Lissu, Kamanda mnyika, kamanda sugu, kamanda halima mdee, kamanda mwalimu na wengine wengi ila kwa Kuwa wewe bado uko Safi tunakuomba uendelee kupambana ili tufike kule tunakokusudia, tumetoka mbali naamin tutafika salama japo tumeumia sana kuna ndugu zetu waliotangulia mbele ya haki kwa kuipigania taasisi hii muhimu kwetu wa Tanzania, tena wengine wamedhulumiwa uhai wao na watawala wasiopenda ukwel Lakin damu Yao ndio ujasiri wetu.. Nakumbuka hata wewe walikukosa risasi pale nmc ila hukurud nyuma
Kazi yako tunaitambua Mr. Chairman wengine hawawez kuelezea uhodari wako wanasubiri hadi ufe ndio waje wakupigie saluti
Mungu akulinde Dr mbowe jujawahi kuwa mnafik wala mwongo wa nafs yako juu ya dhamira ya kuikomboa Tanzania kutoka kwenye makucha ya mafisad papa yasiojali wananchi
Ni mimi mtanzania mzalendo
Dr. Slaa ni mtanzania,hiyo tuu inampa haki ya kuanzisha chama. Mbowe familia yake ipo ughaibuni,ila mwenyekiti wenu. Anaenda kutembea anarudi. Dr. Slaa yupo Canada mapumzikoni kama Mbowe anavyoenda kila uchao! Kuna ubaya?Hayo yooote mimi siku ya hitaji nime uliza swali fupi sana kutokana na pendekezo lako kuwa Dr.Slaa aanzishe chama pengine nataka nijiunge,Slaa kesha yeya yuko Canada kahamishia makazi huko nikitaka tu kujua Chama hicho aanzishie wapi? hilo tu.
Haya Muungwana natu msubiri huyo Dr. Slaa amalize hayo mapumziko japo sijui ame choshwa na nini.Dr. Slaa ni mtanzania,hiyo tuu inampa haki ya kuanzisha chama. Mbowe familia yake ipo ughaibuni,ila mwenyekiti wenu. Anaenda kutembea anarudi. Dr. Slaa yupo Canada mapumzikoni kama Mbowe anavyoenda kila uchao! Kuna ubaya?
Dr. Slaa fikra zake zinahitajika sana katika mageuzi. Ndio maana tunanshauri aanzishe chama chake. Dr. Slaa ndiye aliyeibua na kuiishi ajenda ya ufisadi na Chadema ukaheat. Zitto na Dr. Slaa wanajasho lao kwenye mageuzi ya nchi hii.Haya Muungwana natu msubiri amalize hayo mapumziko japo sijui ame choshwa na nini.
Oh! sawa sawa ila nahisi mabadiliko katika uandishi wako kadri muda unavyo pita naona kuna lafudhi ya kimakonde imesha ingia 'tunanshauri' na mengineyo, sisemi kama ni viroba la hasha otherwise nime kuelewa,naomba tu nikutakie usiku mwema.Dr. Slaa fikra zake zinahitajika sana katika mageuzi. Ndio maana tunanshauri aanzishe chama chake. Dr. Slaa ndiye aliyeibua na kuiishi ajenda ya ufisadi na Chadema ukaheat. Zitto na Dr. Slaa wanajasho lao kwenye mageuzi ya nchi hii.
sasa si mwache unafiki wa kujiita chama cha DEMOKRASIA, kwa sababu mwenyekiti wenu ni dikteta hataki kuachia madaraka kwa wengine.Mbowe akistaafu 2018 atakuwa hajakitendea haki chama.
""Vyama vichanga vinahitaji kulelewa"..(mwalimu Nyerere).
Chadema kwa uchanga wake huo haipaswi kuhama toka mikononi mwa Mbowe. Mwalimu Nyerere alikuwa mwenyekiti wa chama kwa zaidi ya miaka 23. Na alikilinda chama chake kwa nguvu zake zote. Akina Kolimba walikuwa na mawazo tofauti na Nyerere tunajua kilichowapata.
Tafadhali Kamanda Mbowe usihadaike na makelele ya nzi wa kijani kuwa eti umekuwa sultani wa chadema. Hawana nia njema.
Kama wewe sultani wa chadema wao ni sultan wa taifa la Tanzania. Angalia chaguzi zinavyo figiswafigiswa. Nzi wa kijani hawana maana. Kamanda endelea na usukani.
Lubuva hatokaa asahaulike kwa pande zote mbili yaani mnyang'anywa na aliye faidikaKama ni kweli inabidi wadau wafanye kazi ya kubadilisha uamuzi wa huyu MTOTO WA MJINI NA BINGWA WA SIASA ZA NCHI HII , huyu mtu ni noma ! mkiruhusu aondoke ulingoni mmekwisha , Mbowe amesababisha visukari na presha za watu zipande kwa miezi 6 sasa , shukrani za pekee zimwendee Damiani Lubuva .
Daaa umenikumbusha inzi wa kijani,utotoni mwetu tulikuwa tuna muita inzi wa kizungu kumbe huyo ndiye mkuu wa mainzi wachafu dunianiMbowe akistaafu 2018 atakuwa hajakitendea haki chama.
""Vyama vichanga vinahitaji kulelewa"..(mwalimu Nyerere).
Chadema kwa uchanga wake huo haipaswi kuhama toka mikononi mwa Mbowe. Mwalimu Nyerere alikuwa mwenyekiti wa chama kwa zaidi ya miaka 23. Na alikilinda chama chake kwa nguvu zake zote. Akina Kolimba walikuwa na mawazo tofauti na Nyerere tunajua kilichowapata.
Tafadhali Kamanda Mbowe usihadaike na makelele ya nzi wa kijani kuwa eti umekuwa sultani wa chadema. Hawana nia njema.
Kama wewe sultani wa chadema wao ni sultan wa taifa la Tanzania. Angalia chaguzi zinavyo figiswafigiswa. Nzi wa kijani hawana maana. Kamanda endelea na usukani.