Sasa kama hawamjui wewe unalia kwa sababu gani? Basi wana kujua wew Jay One,haya umefurahi sasa?Huko Kenya wala hawajui Mbowe ni raia wa nchi gani, wala hawajui sura na shughuli zake, acheni ku publicize ur own news kwenye gazeti lake Mbowe alafu mnatuletea pumba humu, no one knows Mbowe at all in Kenya, kama hujaelewa, kaelewe huko
Bongo mnatikiswa na tozo, au bado mnataka mtikisiko mwingine?Huku bongo republic hatikisi anaenda kutikisika kwa Ruto ila Bongo land what's so important there.
Sasa wewe unalia nini?Hata angealikwa kwenye sayari nyingine sawa tu. Twajua neno moja tu kwamba siku alipobadili gia angani ndio siku aliyojimaliza na hatainuka tena.
Uko sahihi.Chama chetu CHADEMA kinatambulikana kuwa ni chama cha kweli cha siasa tofauti na vyama-kongwe-dola vilivyojibatiza kuwa ni revolutionary (mapinduzi) ambavyo havina ushawishi wala uhalali wa kutambulikana kama vyama vya siasa katika karne hii tuliyo nayo.
Hahaha....ametumwa na Kamati Kuu ya Chama makinisitoshangaa akipewa nafasi ya kusalimia umma wa kenya akisema ametumwa na rais samia kuja kumwakilisha. si unajua tena siasa zetu za east africa.
Mh Freeman is an exception Political Leader in our todays time.Nani anaweza kulinganishwa na Freeman Mbowe? Mtu ambaye alikuwa na uwezo wa kuishi bila bugdha, tena angetaka angeweza kuishi kwa anasa na starehe, lakini akayaacha yote, akachagua maisha ya mateso kwaajili ya mapenzi ya kweli kwa Taifa lake!! Wangapi wanaoliweza hilo? Wengi tumeshindwa. Mbowe ameliishi hilo.
Mungu wa haki na uhuru, kwa rehema zako, endelea kumlinda, kumbariki, kumwinua Mbowe na wengine wote wanaopigania na kupenda haki, bila ya kuangalia vyama vyao, maana wanapigania haki na ule uhuru wa kweli ambao Mungu alimwumba nao mwanadamu. Na wale wadidimizaji wa haki na uhuru wa kweli wazidi kudhaririki hata siku za uzee wao.
Shukrani kwa Ruto kuitambua nafasi ya Mbowe katika kupigania haki, uhuru na demokrasia ya kweli..
Mbonà kaalikwa na ameshatuaOyoooooooo!!!!; Go! Go! Baba la baba
Ndiyo maana yule bibi wa kale ka nchi fulani hajaalikwa.!!!
Naona kaalikwaWalioshiriki kuchoma vifaranga Marufuku !
Tuombe Mungu wananchi wa Kenya wasiimbe "Vifaranga , vifaranga"Naona kaalikwa
Nani analia ? Upuuzi mtupu peleka huko, unatuletea habari za mtu ambaye siasa ilishamshinda amebaki kulambishwa asali. Hujielewi.Sasa wewe unalia nini?
Wewe ni mshenzi sn sijui una age gani, unaita watu takataka?Nani aalike takataka hizo?Kenya wako busy na vitu vya msingi
Umetudanganya.Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.
Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana la vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.
Chanzo: Tanzania Daima
Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
Katikisa mbele au nyuma!!?Naona Mbowe katikisa
mm naona kuna haja ya kuanzishwa chama makini ambacho kitakuwa na watu makini kama akina Ruto ili kutuvusha 2025 kuliko hivi tulivyo navyo sasa hivi.Hii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.
Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana la vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.
Chanzo: Tanzania Daima
Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
Kumbe huyu ndiye Mbowe aliyetabiriwa na nabii mkuu ErythrocyteHii ndiyo taarifa mpya ambayo inasambaa kwa kasi sana duniani kwa sasa, kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Mtemi Isike, Laingwanan ama Ustaadh Aboubakar Mbowe ataingia Nairobi, kwa Mwaliko Maalum wa Ruto Mwenyewe.
Taarifa zinaonyesha kwamba Aboubakar Mbowe ni Mgeni Maalum Mno, huku tetesi zikionyesha kwamba yuko kwenye orodha ya kakundi kadogo sana la vigogo watakaopewa nafasi ya kutoa Neno.
Chanzo: Tanzania Daima
Endelea kubaki JF kwa ajili ya Uhondo zaidi.
Muulize mamayoKatikisa mbele au nyuma!!?