The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Matibabu gani hayo yanachukua zaidi ya 500M sijawahi kuona ,hii ni zaidi ya Deci na kikombe cha Babu
Hata marekani hakuna gharama hizo
Sawa tunamuombea ila kuna harufu ya kuliwa kwa hela zetu za rambirambi
Rambirambi? Inaelekea lumumba fc walijiandaa kwa msiba. Poleni sana. Lissu bado yupo hai.