Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
10 M kwa siku ni za kutengenez mtu mpya maabara si hospitali. Na Mbowe hataondoka huko pengine asikie ruzuku imetoka tena, aje achukuwe.
Endelea kumchangia watanzania wezangu.
Hongera sana Mkuu nilitegemea uwe Arusha ambako wanadanganya ati Barabara zimejengwa na CCM,CCM inavitega uchumi vingapi na vipi vya kuiwezesha kujenga barabara??Mwambieni Mwenyekiti asiwe MUONGO kwa kiasi hicho,barabara zetu zimejengwa kwa kodi zetu.
Msalimie mamsap yako