Freeman Mbowe awasili Msibani kwa Membe na kutoa Pole

Freeman Mbowe awasili Msibani kwa Membe na kutoa Pole

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,433
Reaction score
283,713
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , amefika nyumbani kwa Bernard Membe ili kuhani Msiba , ambapo ametia saini kwenye Kitabu cha Wageni

Huku akiwa chini ya Ulinzi wa Makomandoo , Mbowe amemuelezea Membe kama rafiki ambaye wameshirikiana katika mengi ndani na nje ya Bunge kwa zaidi ya miaka 15 , Mbowe amesema Membe alikuwa mtu mwema na mwenye uthubutu wa kupinga dhuluma na uonevu

View attachment 2620428

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , amefika nyumbani kwa Bernard Membe ili kuhani Msiba , ambapo ametia saini kwenye Kitabu cha Wageni

Huku akiwa chini ya Ulinzi wa Makomandoo , Mbowe amemuelezea Membe kama rafiki ambaye wameshirikiana katika mengi ndani na nje ya Bunge kwa zaidi ya miaka 15 , Mbowe amesema Membe alikuwa mtu mwema na mwenye uthubutu wa kupinga dhuluma na uonevu

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Poleni kwa kufiwa na mwenzenu nanyi mnafuata ni njia Moja kwa wote
Jamn watu wazuri wanabaki wabaya wanakufa sijui kwa nn ivi uyu kiumbe alifanya ubaya gani Hadi amekufa kizembe ivi[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Baadae utasikia Lissu anatoa matusi kumtukana Mbowe kimafumbo kwa sababu tu amehani msiba wa mwana CCM
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , amefika nyumbani kwa Bernard Membe ili kuhani Msiba , ambapo ametia saini kwenye Kitabu cha Wageni

Huku akiwa chini ya Ulinzi wa Makomandoo , Mbowe amemuelezea Membe kama rafiki ambaye wameshirikiana katika mengi ndani na nje ya Bunge kwa zaidi ya miaka 15 , Mbowe amesema Membe alikuwa mtu mwema na mwenye uthubutu wa kupinga dhuluma na uonevu

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Krismasi tutakula. Wote,,,,,mwakani tunaomba mualiko wa kwaresima ikulu
 
Msiba usikie kwa mtu ukikufikia nfo utajua uchungu wake.
Kwenye msiba wa jpm mlijua kutuumiza humu, utaona comment, huo mzoga unafukiwa lini huko chato? Dictator limekufa, Mungu fundi aiiiiiiiiiiiiiii dunia tunapita.

Wema hawafi...........
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Mwenyekiti wa Chadema , Freeman Mbowe , amefika nyumbani kwa Bernard Membe ili kuhani Msiba , ambapo ametia saini kwenye Kitabu cha Wageni

Huku akiwa chini ya Ulinzi wa Makomandoo , Mbowe amemuelezea Membe kama rafiki ambaye wameshirikiana katika mengi ndani na nje ya Bunge kwa zaidi ya miaka 15 , Mbowe amesema Membe alikuwa mtu mwema na mwenye uthubutu wa kupinga dhuluma na uonevu

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Haya ndio madhara ya kukosa cha kupost.
 
Msiba usikie kwa mtu ukikufikia nfo utajua uchungu wake.
Kwenye msiba wa jpm mlijua kutuumiza humu, utaona comment, huo mzoga unafukiwa lini huko chato? Dictator limekufa, Mungu fundi aiiiiiiiiiiiiiii dunia tunapita.

Wema hawafi...........
Limagufuli lishageuka kaboni
 
Leo ndio nimeelewa, Kumbe zile kashkashi zote zile zilikuwa sio maombolezo..!,ila watu walikuwa wanashangilia.!?.yabidi watz tujiulize "kwa nini kushangilia"badala ya kuomboleza.
 
Back
Top Bottom