Freeman Mbowe adhalilika, Wananchi wamkimbia uwanjani

Sasa hata namba yako ya simu umesahau kuiweka hapa,mafuwe(manyani kwa kimachame) atakutupiaje hivyo vingawira kama posho ya kumpamba kiuongo uongo?
 
Umejitahidi Sana kutengeneza hizo shs.20000/= za mafue a.k.a manyani.
Huyo mbunge wa asante magu keshausoma mchezo na kauona mwisho wake. Ni mbunge wa muhula moja apende ama asipende, safari ya kurejea alikotoka imeiva. La maana ni yeye kupita kuwaaga wanahai na asilawalazimishe Wala kuwafokea! Akaungane na sabaya wake na yule ocd wajisikitie!
 
Huyo mumeo mafuwe hata angedhikri uchi ubunge hawezi kupata tena hata kura za maoni hapiti.
 
Andika kitu kinachoeleweka, yaani watu walipoanza kuukimbia mkutano wake Chadema ikapeleka magari Arusha yakalete watu wajaze uwanja! Hebu eleza vizuri ueleweke.
 
Bado kwenye Dunia hii ya technology mnategemea huo upotoshaji wa kizamani?!
 
Misukule ya mzee Mbowe itabisha
 
Unatamani iwe hivyo ila haijakua Sasa tumbo linakuvuruga people's people's people's people's people's people's
 
Hivi kwa nchi iliko fikia Kuna haja gani kuangaika na upinzani



Mbowe.ni mmoja tu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…