Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 4,413
- 3,334
Hivi hii ya "..............is following you" Ina maana gani mkuu?!!!
Hivi hii ya "..............is following you" Ina maana gani mkuu?!!!
Majeshi YETU yote hapo Kwa ajili ya kulinda Watawala siyo Wananchi .Mfano Polisi wetu huangalia ataishije akifukuzwa kazi maana hata ELIMU zao mbovuOctober 29 jeshi likisema litasindikiza maandamano itaisha mapema sana.
Mungu Ibariki Tanzania.
Uzuri huko jeshini sio lazima mkubwa afanye maamuzi. Rejea nafasi ya Idd Amini, rejea nafasi ya Ibrahim Traore, rejea nafasi ya Thomas Sankara.Kwa mamilioni anayopewa mkuu wa majeshi, sahau hilo jeshi kusaidia chochote